mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,271
Alikuwa anatembea kama robot,kha hujafa hujaumbika kwelimkuu, alionekana kwenye TBC baada ya press conference, kwa mtu makini anagundua upande wa kushoto, hasa mkono, hauko active...nilimwona alipokuwa anatembea, for a second or two, ni kama wa sanamu tu. Na hapo kama walijaribu ku lobby press (ambayo ofcourse, ilishindwa vibaya, maana kwa wanaojua, magazeti karibu yote front page main story headline ni ile ile...Lowasa yuko fit and blah bla...) conclude. Hawa nao sijui wataacha lini kununuliwa.