mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Umaskini umesababishwa na nini?
Hilo swali hebu muulize JK perhaps by now he might have the answer.
Umaskini umesababishwa na nini?
Nadhani tungejua kwanza umaskini kwenu ni nini? ndipo tujue sababisho la umaskini.
NINGESIHI PIA KWAMBA KWA PICHA HIYO HAIMAANISHI HUYO MTU NI MASKINI KWANI YAWEZEKANA ANADUMISHA MILA NA DESTURI ZA KWAO
Kudumisha nini....mila na desturi? Are you serious? Kama ndivyo basi soon nategemea nyumba kama hiyo (tembe) ijengwe mtaa wa Samora (Dar) kwani wanaopenda kudumisha mila na desturi zao nadhani wapo kila mahali na sio vijijini tu!
unacheza wewe, unatuuliza sisi swali gumu namna hii? MKUU WA NCHIUmaskini umesababishwa na nini?
Maarufu tembe nje kidogo ya manispaa ya dodoma
Hizi ndo nyumba zetu na wala si umaskini acheni maneno. Mbona mahali pengine wanalala kwenye nyasi si tumenyamaza?Maarufu tembe nje kidogo ya manispaa ya dodoma
Linganisha na anapopumzika mh JK..kila mara
Bilila Lodge | Serengenti, Tanzania
Hilo swali hebu muulize JK perhaps by now he might have the answer.