Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
sisi ndo tulikuwa wa mwisho kumalizia jeshi kukaa kwa mwaka mzima,tena tulimaliza mwezi may badala ya june,ndo wakaingia wa miezi sita,nadhani hukunielewa vizuri
Nadhani nyie ndio mlikamilisha kwa kuwa sio mwaka tu bali ni wa mwisho kabisa maana waliomaliza 1994 na kendelea mpaka sasa hawakwenda ila kuna vitu mlijifunza kwani waliosoma miaka hiyo kushuka chini walisoma mazingira flani magumu ya boarding lakini pamoja na kula dona maharage lakini wanafunzi walikuwa wana-enjoy sana japo siku hizi watoto wetu wanakwenda shule huku na kachupa ka juice