Picha ya leo - Waliopitia JKT enzi hizo itawakumbusha makubwa

kwa mshahara wa shiling ngapi ????labda wawe wananilipa milioni hamsini kwa mwezi , hapa nashika kalamu nakula zaidi yao , anyway ndo matatizo ya kufanya kazi ambayo anyfool can do, big wana JKT hu hu huuuuu
paty, umenifurahisha sana, hahaha
 
Last edited by a moderator:
kwa mshahara wa shiling ngapi ????labda wawe wananilipa milioni hamsini kwa mwezi , hapa nashika kalamu nakula zaidi yao , anyway ndo matatizo ya kufanya kazi ambayo anyfool can do, big wana JKT hu hu huuuuu

Enzi hizo ilikuwa haikwepeki na system ilikuwa inafanya kazi hata ukimbie utapatikana tu labda usikimbilie kuajiriwa maana hata kupita JKT ilikuwa ni moja ya qualification ya kupata kazi
 
JKT ni mfumo wa nchi za kikomunist za urusi ya zamani, korea kaskazini , uchina cuba etc sisi vi-KOmunist vidogo tuliiga tu, na baadhi ya hizo nchi waanzilish wa ukomunist wameacha hizo JKT sababu wameona hazina manufaa kwao. Urusi sasa wameacha hiyo JKT isiyo na faida, hizo JKT hazijawapa maendeleo ya kiuchumi wala ya kijamii sababu bado hizo nchi kuna mafisadi wengi tu.

nchi za kibepari kama usa na uingereza, ujerumani hawakuwahi kuwa na JKT na bado wana maendelao makubwa na ufisadi ni mchaChe kuliko hizo nch za kikomunist zilizokuwa zinafanya JKT.

na ni kweli kwamba hizo nchi zilizokuwa za kikomunist na zinafanya JKT zipo nyuma kimaendeleo ya kiuchumi na kijamii na ufisadi umejaa kuliko nchi za kibepari zilizokuwa hazifanyi JKT.

ondoeni mawazo mgando na ya kale embu tutoleeni huo utumbo JKT hauna manufaa yoyote, labda ni sehemu nyingine mafisadi mnataka mpeleke pesa mkazile!!
 
Optimized-Benito12[1].jpg
 
Yale yale ya makomandoo wetu kuvunja tofali kwa ngumi!!! Dunia hii matofali na ngumi wapi na wapi?? wenzio wanatumia satelite na ndege zisizo na rubani
 
Enzi hizo ilikuwa haikwepeki na system ilikuwa inafanya kazi hata ukimbie utapatikana tu labda usikimbilie kuajiriwa maana hata kupita JKT ilikuwa ni moja ya qualification ya kupata kazi
ha ha ha ha hongera zenu mlipita kwenye hii system , Mzee. Nyerere alikuwa anawajengea misingi ya ujamaa watu wenye spirit ya ubepari , matokeo yake ndo hawa mafisadi wanatuibia kwa mmedai za kivita , anyway respect mkuu Jodoki Kalimilo
 
Last edited by a moderator:
paty, umenifurahisha sana, hahaha
mkuu stineriga huu ndo ukweli bwana , sometimes naisi hawa jamaa wanastaili kupewa shughuli* za iyo waliyopewa kwani wanastahili . na ndo inayowafanya wajione ni special wakali si tunaona akili yao haina akili , ila wana umuhimu mkubwa sana, ndo wanasabibisha tunakula weekend kwa raha bila hofu yoyote ,( kwa mara nyingine ) big wanajeshi
 
Last edited by a moderator:
Paty, JKT kwa vijana wengi ilikuwa ni lazima kwenda kwa mujibu wa sheria. Isipokuwa kwa wachache tuliokuwa tunawaita Volunteers, wengi wetu ilikuwa compulsory, na yeyote aliyemaliza kidato cha sita au kozi ya miaka miwili na kuendelea baada ya kumaliza kidato cha nne (walimu na waganga) ilikuwa ni lazima kwenda JKT kabla ya kupata ajira au kuendelea na masomo ili kuweza kupata ajira au kuendelea na masomo.
nashukuru mungu sikuzaliwa kipindi mzee wangu nyerere anajalibu ku cultivate socialism spirit kwa mabedui ( ma bepari/mafisadi ) kwani naisi ile smg ningempasua mtu ubongo , kimsingi hatupingi JKT ila we are ashemed by the product from JKT , yaani imekuwa ni kinyume 100% na kile baba yangu Kambarage alichotegemea, hawa waakina Mr.dhaifu , anyway Mzawa Halisi hongera kama ulipita JKT na unatamani yule ambaye hajabarikiwa kuliko wewe (tafsida) naye awe na uwezo wa kuishi juu ya dola moja kwa siku
 
Last edited by a moderator:
mkuu Mbimbinho huu ndo ukweli , kama mvivu wa kutumia akili basi kubali kutumia nguvu , kama mvivu wa kutumia nguvu basi basi kaza kushughulisha akili

What if that's their only choice they got? Ushajiuliza kama wengine walifaulu mashuleni lakini walishindwa kuendelea kwasababu ya kukosa ada?
I repeat again, Ain't fair.
 
Hilo zoezi ni hatari sana kiafya kwani mtu anaweza kupoteza maisha kwa damu kujaa kwenye mishipa ya ubongo na kupasuka. Mimi nimepitia huko mwaka mzima sikukubali upuuzi huo!!!
 
ujasiriamali , the plan B ... HUTAJI KUJIFUNGA KIASI hiki , anyway nakubaliana wewe kwa kiasi flani kwa muktadha wa kipindi cha mzee wetu Nyerere ( socialism do not encourage private enterprise ), ila kea muktadha wa sasa , ni akili yako tu , maisha yanasogea kwani wananchi wanahitaji mengi ambayao mtu wa JKT ( analipwa 50 kwa mwenzi* nilipita miaka kadhaa iliyopita) aweza kuacha huu upuuzi wa kuumiza kimwili na kiakili na ku make fortune , kaka Mbimbinho i hope umeelewa what i mean
 
Last edited by a moderator:
ujasiriamali , the plan B ... HUTAJI KUJIFUNGA KIASI hiki , anyway nakubaliana wewe kwa kiasi flani kwa muktadha wa kipindi cha mzee wetu Nyerere ( socialism do not encourage private enterprise ), ila kea muktadha wa sasa , ni akili yako tu , maisha yanasogea kwani wananchi wanahitaji mengi ambayao mtu wa JKT ( analipwa 50 kwa mwenzi* nilipita miaka kadhaa iliyopita) aweza kuacha huu upuuzi wa kuumiza kimwili na kiakili na ku make fortune , kaka Mbimbinho i hope umeelewa what i mean

Mkuu I understand what you are trying to say hapa. One thing I just want you to realize kuwa you were harsh kwa statement yako ya
anyway ndo matatizo ya kufanya kazi ambayo anyfool can do
 
Mkuu I understand what you are trying to say hapa. One thing I just want you to realize kuwa you were harsh kwa statement yako ya
nakubali mkuu Mbimbinho , but kwa incedents za sasa ivi ( zingatia ufisadi , zingatia mapesa nje ya nchi ) kuwa HARSH ni best way ya kudeliver message na personal feelings
 
Last edited by a moderator:
nakubali mkuu Mbimbinho , but kwa incedents za sasa ivi ( zingatia ufisadi , zingatia mapesa nje ya nchi ) kuwa HARSH ni best way ya kudeliver message na personal feelings

Hapa nazungumzia wale watu wa chini kabisa, ambao hawana mianya wala opportunity yoyote.
Got you though..!
 
Back
Top Bottom