Picha - Uamsho Zanzibar ngangari hadi kieleweke

At4NPC6CIAEToKH.jpg+large.jpg


HIZ.jpg

Picha hisani ya Michuzi blog

Licha ya mabomu na vitisho vya serikali, waandamaji Zanzibar wangali ngangari kudai maoni yao kuhusu serikali ya Muungano. Haki ya wananchi si kitu cha kuporwa kirahisi siku hizi. Bora tu kusikiliza madi yao na kuyafanyia kazi, lakini nguvu si lo lote na si chochote kwani ni kuchochea zaidi vurugu. Madai yao hayajasikilizwa muda mrefu na kudharaulika kila walipotaka kutoa maoni yao, matokeo leo ndiyo haya.

Sijui kitoto cha uamsho watakiita Boko nini? Kile cha nigeria ni boko haramu, hiki ...bokopoko
 
Lissu aliyazungumzia yote hayo jana. Kiukweli Muungano huu umekaa kiusanii sana. Zanzibar wana serikali yao, Katiba yao, bunge lao, wimbo wa taifa nk. Tanganyika iko wapi na inawakilishwa na nani kwenye muungano? Wizi mtupu!
 
Kwa akili zako finyu unadhani hapo ndiyo ungekuwa umemaliza matatizo ya wazanzibar ya kutaka kujiamulia mambo yao wenyewe??
 
Ningepeleka majeshi na kudhibiti waandamanaji kwa namna yoyote ilimradi amani na utulivu vipatikane. Ningehakikisha jeuri yao naikomesha na chokovhoko za vikundi vya kidini nazimaliza kwa kuwabana viongozi.

Ningeongeza magari ya washawasha na kuongeza idadi ya wanajeshi kutoka bara.

we kweli bichwa nazi, unafikiri wazenj ni cowards kama wewe? Soma historia ya Zanzibar ndo utajua Wazanzibari ni nani.
 
Ningepeleka majeshi na kudhibiti waandamanaji kwa namna yoyote ilimradi amani na utulivu vipatikane. Ningehakikisha jeuri yao naikomesha na chokovhoko za vikundi vya kidini nazimaliza kwa kuwabana viongozi.

Ningeongeza magari ya washawasha na kuongeza idadi ya wanajeshi kutoka bara.

mambo ya kike ayo,wanaume hawana mawazo km ayo,
katafute m,me akupe fikra sahih
 
Hapo umeongea Mkuu, take 100%. Ikiwa wataendelea kulazimisha nadhani itakuwa hali mbaya na zaidi Wazanzibari hawagusiki kuhusu nchi yao tuombe kheri CCM wakubali mabadiliko hata kama ni shubiri kwa chama chao.
 
Ningepeleka majeshi na kudhibiti waandamanaji kwa namna yoyote ilimradi amani na utulivu vipatikane. Ningehakikisha jeuri yao naikomesha na chokovhoko za vikundi vya kidini nazimaliza kwa kuwabana viongozi.

Ningeongeza magari ya washawasha na kuongeza idadi ya wanajeshi kutoka bara.


Kinachotokea Zanzibar ni FULL UDINI. Udini at its highest level. PERIOD. Viongozi (CCM) waliushabikia, wakauendekeza, na hata kuufadhili kwa maslahi mafupi ya kisiasa sasa mambo yameharibika - na bado.

Tunaisikia Boko Haram ee? Tunaisikia Al-Shabaab ee? Sasa iko mlangoni mguu mmoja ndani. Matokeo ya viongozi kutoshughulikia matatizo kwa wakati kwa hofu ya kuwaudhi akina fulani ndio haya.

Matokeo ya viongozi kusimama majukwaani tena majukwaa rasmi ya kitaifa kama Bungeni na kuanza kushadadia udini kama turufu ya kisiasa dhidi ya wengine kwa faida ya kulinda maslahi ya chama chetu badala ya kuzungumzia ukweli halisi ndio haya.

Naomba niwatahadharishe viongozi wa CCM ambao kila kukicha hawaachi kukihusisha CHADEMA na udini usiokuwepo lakini katu hutawasikia wakizungumzia makundi yaliyo dhahiri kwa udini kama hili la uamsho huko Zanzibar! Mnakoipeleka nchi siko! Kikundi hiki na mengineyo kadhaa hasa kupitia mwamvuli wa nyumba za ibada yamelelewa kwa muda mrefu na CCM hususan huko Zanzibar, yamekuwa, na sasa yanajipambanua kwa rangi zao halisi - eti Dola ya KIISLAM YA Zanzibar!

Kama wengi wasemavyo, nchi hii itaingizwa kwenye machafuko hususan ya kidini na CCM na si vinginevyo - yetu macho.
 
Kinachotokea Zanzibar ni FULL UDINI. Udini at its highest level. PERIOD. Viongozi (CCM) waliushabikia, wakauendekeza, na hata kuufadhili kwa maslahi mafupi ya kisiasa sasa mambo yameharibika - na bado.

Tunaisikia Boko Haram ee? Tunaisikia Al-Shabaab ee? Sasa iko mlangoni mguu mmoja ndani. Matokeo ya viongozi kutoshughulikia matatizo kwa wakati kwa hofu ya kuwaudhi akina fulani ndio haya.

Matokeo ya viongozi kusimama majukwaani tena majukwaa rasmi ya kitaifa kama Bungeni na kuanza kushadadia udini kama turufu ya kisiasa dhidi ya wengine kwa faida ya kulinda maslahi ya chama chetu badala ya kuzungumzia ukweli halisi ndio haya.

Naomba niwatahadharishe viongozi wa CCM ambao kila kukicha hawaachi kukihusisha CHADEMA na udini usiokuwepo lakini katu hutawasikia wakizungumzia makundi yaliyo dhahiri kwa udini kama hili la uamsho huko Zanzibar! Mnakoipeleka nchi siko! Kikundi hiki na mengineyo kadhaa hasa kupitia mwamvuli wa nyumba za ibada yamelelewa kwa muda mrefu na CCM hususan huko Zanzibar, yamekuwa, na sasa yanajipambanua kwa rangi zao halisi - eti Dola ya KIISLAM YA Zanzibar!

Kama wengi wasemavyo, nchi hii itaingizwa kwenye machafuko hususan ya kidini na CCM na si vinginevyo - yetu macho.
 
kuna alqaeda.....wacha wapewe zanzibar yao waanzishe mahakama ya kadhi...wakatane mikono,na sehemu za siri kwa uzinzi!
 
serikali ya jk inatakiwa kupata lasting solution kwenye hili suala. sidhani kama kuna kikwazo chochote ktk kuomba msaada kutoka kwa viongozi wengine wa upinzani ikibidi. tunachotegemea ni amani kwa watanganyika na wazanzibari wote. pakinuka zenji sidhani kama bara patakuwa shwari. sisi sote ni ndugu na kila upande kuna wa bara na visiwani.
Amani inayopigiwa debe kila kukicha na sisiem iwe ni amani ya kweli. isiwe ya ku bluff wananchi. JK lazima ajiguse sasa na kutoa msimamo wake kunusuru Taifa letu hili. Kunyamaza kwake as if nothing fishy happens italeta balaa kubwa siku za usoni.
washauri wake wafanye kazi zao - unless mtuambie kuwa jamaa ni haambiliki.
 
Kinachotokea Zanzibar ni FULL UDINI. Udini at its highest level. PERIOD. Viongozi (CCM) waliushabikia, wakauendekeza, na hata kuufadhili kwa maslahi mafupi ya kisiasa sasa mambo yameharibika - na bado.

Tunaisikia Boko Haram ee? Tunaisikia Al-Shabaab ee? Sasa iko mlangoni mguu mmoja ndani. Matokeo ya viongozi kutoshughulikia matatizo kwa wakati kwa hofu ya kuwaudhi akina fulani ndio haya.

Matokeo ya viongozi kusimama majukwaani tena majukwaa rasmi ya kitaifa kama Bungeni na kuanza kushadadia udini kama turufu ya kisiasa dhidi ya wengine kwa faida ya kulinda maslahi ya chama chetu badala ya kuzungumzia ukweli halisi ndio haya.

Naomba niwatahadharishe viongozi wa CCM ambao kila kukicha hawaachi kukihusisha CHADEMA na udini usiokuwepo lakini katu hutawasikia wakizungumzia makundi yaliyo dhahiri kwa udini kama hili la uamsho huko Zanzibar! Mnakoipeleka nchi siko! Kikundi hiki na mengineyo kadhaa hasa kupitia mwamvuli wa nyumba za ibada yamelelewa kwa muda mrefu na CCM hususan huko Zanzibar, yamekuwa, na sasa yanajipambanua kwa rangi zao halisi - eti Dola ya KIISLAM YA Zanzibar!

Kama wengi wasemavyo, nchi hii itaingizwa kwenye machafuko hususan ya kidini na CCM na si vinginevyo - yetu macho.

Mwenye kusoma na asome asikie! umemaliza mkuu thanx kwa kunisemea pia!
 
kuna alqaeda.....wacha wapewe zanzibar yao waanzishe mahakama ya kadhi...wakatane mikono,na sehemu za siri kwa uzinzi!

Mkuu tatizo la mambo ya kishetani huwa yanaathiri hata wasiohusika. Ingalikuwa wanakatana hiyo mikono wenyewe kwa wenyewe wala isingekuwa shida. Problem ni kwamba kila mmoja ataathirika na upuuzi wao. Al-Qaeda wameuwa wangapi wasiokuwa na hatia? Boko Haram je? Imeangamiza hata wanyonyao! Na Al-Shabaab? Hawa ndio usiseme. Na hao Brotherhood?
 
Kinachotokea Zanzibar ni FULL UDINI. Udini at its highest level. PERIOD. Viongozi (CCM) waliushabikia, wakauendekeza, na hata kuufadhili kwa maslahi mafupi ya kisiasa sasa mambo yameharibika - na bado.

Tunaisikia Boko Haram ee? Tunaisikia Al-Shabaab ee? Sasa iko mlangoni mguu mmoja ndani. Matokeo ya viongozi kutoshughulikia matatizo kwa wakati kwa hofu ya kuwaudhi akina fulani ndio haya.

Matokeo ya viongozi kusimama majukwaani tena majukwaa rasmi ya kitaifa kama Bungeni na kuanza kushadadia udini kama turufu ya kisiasa dhidi ya wengine kwa faida ya kulinda maslahi ya chama chetu badala ya kuzungumzia ukweli halisi ndio haya.

Naomba niwatahadharishe viongozi wa CCM ambao kila kukicha hawaachi kukihusisha CHADEMA na udini usiokuwepo lakini katu hutawasikia wakizungumzia makundi yaliyo dhahiri kwa udini kama hili la uamsho huko Zanzibar! Mnakoipeleka nchi siko! Kikundi hiki na mengineyo kadhaa hasa kupitia mwamvuli wa nyumba za ibada yamelelewa kwa muda mrefu na CCM hususan huko Zanzibar, yamekuwa, na sasa yanajipambanua kwa rangi zao halisi - eti Dola ya KIISLAM YA Zanzibar!

Kama wengi wasemavyo, nchi hii itaingizwa kwenye machafuko hususan ya kidini na CCM na si vinginevyo - yetu macho.

me huwa nawaambia rafiki zangu ambao huwa nachat nao,hasa wale wa visiwan,hapo kuna watu wanatafuta popular
 
Back
Top Bottom