PICHA: Rais Kikwete akizindua nyumba za wanajeshi

BRAND

JF-Expert Member
Jun 2, 2013
295
249
Jana January 10,Mh rais Kikwete alizindua mradi wa nyumba bora za wanajeshi zipatazo elfu 10,kwa kuanzia na nyumba mia sita huko gongolamboto Dar.
 

Attachments

  • 1420964019879.jpg
    1420964019879.jpg
    59.9 KB · Views: 2,483
  • 1420964137196.jpg
    1420964137196.jpg
    41.9 KB · Views: 2,007
  • 1420964284602.jpg
    1420964284602.jpg
    41.4 KB · Views: 2,010
  • 1420964318140.jpg
    1420964318140.jpg
    46.3 KB · Views: 2,169
  • 1420964336086.jpg
    1420964336086.jpg
    59.4 KB · Views: 2,223
  • 1420964482288.jpg
    1420964482288.jpg
    78.5 KB · Views: 1,962
Sawa hii danganya toto, Lakini kama hela ya ESCROW, EPA, KAGODA, MEREMETA, stimulus package,MWADUI, TTCL, N.K zisingetafunwa na utawala wa JK Tungeweza kujenga kama hayo kwa Walimu, polisi, Jeshi, Madaktari, mahospital, vyuo vikuu, reli, flyovers NA hata wakulima wangepata maflats mpaka vijijini Nchi nzima.
 
bila hao walimu sidhani kama kungekua na wanajeshi bora, nchi hii walimu wamepuuzwa sana....nawapa pole!
 
Mikopo kutoka China yajengea Wanajeshi Nyumba...... Hapo anajisifu nini sasa

Nchi hii kila ujenzi ni Mkopo, barabara mikopo

Pesa ya walipa kodi inaliwa na wachache. Escrow
 
Jana January 10,Mh rais Kikwete alizindua mradi wa nyumba bora za wanajeshi zipatazo elfu 10,kwa kuanzia na nyumba mia sita huko gongolamboto Dar.

Poor policy. All armies live in military camps not permanent homes. Only governments that live in constant fear invest in military domestic consumables instead of military hardware, software, humanware and organoware. Please send this message to the President.
 
Inafurahisha sana, wanajeshi hawajajengewa kwa miaka 44 ya awamu zote za Nyerere, Mwinyi na Mkapa, walikuwa wakiishi katika mabanda aliyoyaacha Mwingereza na Mjerumani. Kikwete anaonesha inawezekana.

Halafu kuna watu humu wana kauli ya kuuliza aliyoyafanya Kikwete. Hata haya hawaoni.
 
Back
Top Bottom