zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Jamani hakuna kitu kama "kikao maalumcha baraza la mawaziri" chenye kuhusisha watu wasio mawaziri. Hiki kilikuwa kikao cha rais, mawaziri, manaibu na makatibu wakuu. Sio kikao cha baraza la mawaziri kwa kipimo chochote kile.
Kiwanda at Work.