PICHA na VIDEO: Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Landscapping ya Ikulu imechokaaaa!

Huyu angetuleteaje maendeleo wakati ye mwenyewe anakanyaga vumbi Ikulu na haoni ni tatizo?

Samahani sana ndugu yangu kwani nitasema kwamba maneno yako yamenitia kinyaa kwa hiyo naitapika hoja yako!! kama Landscapping kwako ndiyo kipimo cha maendeleo basi wanyama wana maendeleo zaidi kuliko sisi binadamu.

Waulize waliouza viwanda vyetu kama vilijengwa enzi za nani kama siyo mwalimu. mgawanyo wa rasirilimali na mipango ya maendeleo kila baada ya miaka mitano mitano pamoja na kufanya tathimini ya kule tulikotoka ni mambo yaliyokuwa yanafanyika enzi za mwalimu. Sisi wengine tulikula unga wa njano (Yanga) na kununua kwa foleni vitu vya kawaida kabisa kama sabuni na dawa ya mswaki lakini tulijua ni kwa nini.

Nakumbuka uswahilini kwetu maandazi yalipopanda bei kutoka Senti 25 hadi 50 zogo lake lilikuwa ni balaa. Mwalimu hakuwaza kuajiri watu kwa mamilioni ya shilingi ili watunze landscape wakati watu wake hawana chakula. Kila Mwaka ikulu siku hizi inatengewa mabilioni ya shilingi ili kuikarabati, ukarabati huo umeleta maendeleo gani kwa watanzania wa kawaida?
 
tena unatuboa,wewe huon alchofanya mkapa kwl?umetumwa wewe,kikwete si fisadi kafanya nini?katba ingeruhusu nilitaman mzee mkapa aendelee kuwa rais wa nchi hii alau mpaka 2020

Na wewe unatuboa kupita kiasi kwa kumtetea mnafiki na fisadi aliyemsaliti baba wa taifa. Kwani ufisadi wa Mkapa ni mdogo??????????? Acha kumtetea mwizi kwa vile ni ndugu yako, au ulifaidika naye kwa namna yoyote ile..

Ufisadi wa Mwinyi < Kikwete<<< Mkapa
 
samahani sana ndugu yangu kwani nitasema kwamba maneno yako yamenitia kinyaa kwa hiyo naitapika hoja yako!! Kama landscapping kwako ndiyo kipimo cha maendeleo basi wanyama wana maendeleo zaidi kuliko sisi binadamu.

Waulize waliouza viwanda vyetu kama vilijengwa enzi za nani kama siyo mwalimu. Mgawanyo wa rasirilimali na mipango ya maendeleo kila baada ya miaka mitano mitano pamoja na kufanya tathimini ya kule tulikotoka ni mambo yaliyokuwa yanafanyika enzi za mwalimu. Sisi wengine tulikula unga wa njano (yanga) na kununua kwa foleni vitu vya kawaida kabisa kama sabuni na dawa ya mswaki lakini tulijua ni kwa nini.

Nakumbuka uswahilini kwetu maandazi yalipopanda bei kutoka senti 25 hadi 50 zogo lake lilikuwa ni balaa. Mwalimu hakuwaza kuajiri watu kwa mamilioni ya shilingi ili watunze landscape wakati watu wake hawana chakula. Kila mwaka ikulu siku hizi inatengewa mabilioni ya shilingi ili kuikarabati, ukarabati huo umeleta maendeleo gani kwa watanzania wa kawaida?

akili za taso, ni sawa na nzi waishio chooni ambao kazi yao ni kusambaza ugonjwa wa kipindupindu. Anataka kuwaaminisha watu kuwa maisha ya kifahari ya viongozi, yana uhusiano na maendeleo ya wananchi. Hii ni sawa na kueneza ugonjwa wa wananchi wa kutodai uwajibikaji
 
, ni sawa na nzi waishio chooni ambao kazi yao ni kusambaza ugonjwa wa kipindupindu.

Hii ya nzi waenezao Kipindupindu nimeipenda sana. Viongozi wetu washashikwa tumbo la kipindupindu na kwa bahati mbaya hao "Nzi' wamejaa tele kwenye matapishi yao na uharo na wanaeneza kipindupindu kwa wale wanaokula bila kunawa na wanaokula vyakula vinavyopikwa kwa maji ya miferejini.

Hivi wewe mtu na akili yako unaweza kweli kusema aliyewasamehe wale jamaa waliomuua Imaran Kombe hawajasamehewa na Kikwete. Kama yeye angeona kuwasamehe ni kosa si ange - repeal masamaha wenyewe. Wewe Rais mzima unahutubia nchi wanatilia maanani safari zako wa ughaibuni badala ya kuzungumzia hali ya uchumi na maisha ya kawaida ya wananchi wako utayabadilishaje.
 


1. kujiuzia mgodi kwa milion 70, mgodi ulikuwa unakadiriwa kuwa na thamani ya tsh. 700/=million. alishirikiana na Yona.
2. kununua ndege ya raisi, ambayo inakubalika ni mdege wa kitajiri kabisa kwa nchi kama yetu ilikuwa haitufai
3. kuuza nyumba za NHC kwa bei ya kutupwa, huku wao wakijiuzia nyumaba nyingi kwa bei ya kutupwa. Hili alishirikiana na Magufuli
3. kuanzisha sera ya ubinafishaji, ilyopelekwa kuuzwa kwa mashirika ya umma kwa bei ya hasara. Mfano NBC BANK
4. Sheria zinazotutesa hii leo za madini, kodi, na mengine, zilitekelezwa kwa kiasi kikubwa wakati wake.
5. ndiye aliyefanikisha wizi wa mabillioni ya sh. kwenye akaunti ya EPA. kipindi hicho alikuwa anauaga urais na kujenga mtandao wa kuhakikisha KIKWETE anashinda.
6. kubariki ununuzi wa rada mbovu kwa bei ya kutupwa.
7. kubariki kuuzwa kwa ubalozi wa Italy, na kutoa pesa nyingi kuliko zilizokuwa zinahitajika kununua majengo mengine yeye na Maharu

yapo mengi, mengine hayafahamiki
mkuu staki kuchangia ila nataka niweke historia sawa tu.
mgodi wa kiwira ulikuwa na thamani sh. billion 4 (sh. milion 4000) mkapa akajiuzia kwa sh milion 700 akaenda kuchota hela pale NBC akalipa sh. milion 70 tu mpaka unarudi serikalini.
 
kwenye hiyo namba 5 ukifuatilia ukweli BM hakuhusika. Alilazimika kuwa mpole kwa kuwa alikuwa anaondoka madarakani na mrithi wake alikuja na spidi kubwa. Speech ya mwisho ya Bilali na media kabla hajakimbilia Marekani alisema, "anayetaka ukweli wa EPA haitakii mema nchi maana ukweli ukijulikana nchi haitokalika". Na ndo ukweli ulivyo, Malaika (code name ya JK kwenye mtandao) alilazimisha pesa hizo zichotwe.
mkuu acha kubisha kitu ambacho kiko wazi. watu waliopanga mikakati ya kukwapua fedha za epa ni mkapa, rostam, balali na mwanasheria maligesi. usiandike tu kwa hisia za kutetea ujinga wakati wewe mwenyewe ni mjinga. better you keep quote kama hujui ukiandikacho na ukatumia muda huo kusoma post za wengine.
 
He!! picha mbili tu!!! Video iko wapi?
5.jpg


Hapo hakuna Udini, Ukabila, Urafiki wala Ushikina; kutoka kushoto ni Marehemu Habib Halala, Mzee Paul Soizgwa, JK Nyerere, Brig. Hashim Mbita, Mzee Mkapa, siku kumi kabla ya JK kustaafu uraisi 1985

TULIKUWA NA RAHA NCHINI TULIKUWA HATUJAUZWA KAMA SASA HIVI...

321691_2037562706118_1455753503_31706048_1637713393_n.jpg
 
mkuu staki kuchangia ila nataka niweke historia sawa tu.
mgodi wa kiwira ulikuwa na thamani sh. billion 4 (sh. milion 4000) mkapa akajiuzia kwa sh milion 700 akaenda kuchota hela pale NBC akalipa sh. milion 70 tu mpaka unarudi serikalini.

aksante kwa kutukumbusha kumbukumbu sahihi
 
Back
Top Bottom