Mugizi1
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 478
- 142
Asante sana kamanda kwa kufika nyumbani kwetu Kamachumu na kuwatoa watu usingizini
kamachumu nkai?bulembo, kanoni,ruanda,kizigo,kafunjo au wapi?
Asante sana kamanda kwa kufika nyumbani kwetu Kamachumu na kuwatoa watu usingizini
dogo heche amekuja vizuri na bavicha yake kwa hoja hizi hata unaibu katibu mkuu jamaa zako sasa wakufikirie unaweza mpaka huku migombaniii!!! njini sasa hutuliii
yawezekana anajilinda mzee huwezi jua hana mlinzi au lah kikinuka hajui kaweka wapi bareta yake itakuwaje? mwache dogo apige mbizi yeye katuomba tuwaombee tu na huyu ngurumo naona wamoNapata shida kidogo staili ya Heche kuhutubia akiwa ameweka mkono mmoja mfukoni. Kwenye public psychology, hii sio kitu nzuri. Namuomba (kwa faida yake) kama anaweza ajitahidi kuacha...