Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
Mtoto wa Kiislamu: " mtu yeyote atakayechezea quraan majini yatamuua hapo hapo"
Mtoto wa Kikristo: "mimi naweza kuukojolea na hakuna jini litakalonifanya chochote"
Mtoto wa Kiislamu: "kojolea tuone, kojolea sasa, mbona unaogopa..kojolea"
Mtoto wa kikristo: "Flup chwarararaarararararararara"
Mara pu pu pu mpaka polisiiiiiiii
Baadhi ya waislamu mbagala: "haiwezekani, huuuwii, wakristo wametutukana, walutheri na wa TAG na Wasabato na wakatoliki wametutukana, wamekojolea msaafu. Kwanza lete hako katoto tukaue."
Mara choma makanisa, choma vyombo vya muziki, pasua vioo.........
Hii inaonyesha baadhi ya waislamu wana hamu sana ya kushambulia wakristo, makanisa yao na mali zao. Wanangoja sababu kidogo tu.
Funzo kwa watoto wa kikristo wanaopenda ubishi:" ukichezea msaafu ni kweli kuna uwezekano wa kuuawa, lakini siyo kuuawa na majini bali kuuawa na waislamu wenye hasira kali."
Teh teh teh!