Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,282
uwa nashangaa mtu akiumwa wanasema akaombewe,wao wakiumwa wanaenda hospital kutibiwa!!
akili za kuambiwa changanya na zako
akili za kuambiwa changanya na zako
Jopo la maaskofu kutoka madhebehu mbali wamefika Hospitali ya TMJ jioni ya leo Tarehe 30/3/2015 kumjulia hali Askofu Gwajima
Pia Askofu Vernon Fernandes akiwa na mkewe pamoja na askofu Mwasota wafika jioni ya leo Hospitali ya TMJ Kumjulia hali Askofu Gwajima
Mchungaji Peter Nyaga alifika pia kumuombea Askofu Gwajima hospitalini TMJ, maaskofu wote wameridhishwa na hali ya afya ya Askofu Gwajima kwa kuwa afya yake imeimarika sana.​
Angalia,avaaye asijisifu kama avuaye,ni hilo tu.mkuu na wewe una mkashifu pengo. tunakuja na defender kukukamata na wewe kama babako gwajima
Mungu akuponye haraka na ulejee kuitangaza injili Amen!
Safi ya nini wakati mtu jambazi mpelekeeni n mabomu kabisa ili ajilipue kabisa.Safi sn maaskofu. Mungu ni mwema. Namuombea apone haraka ili aungane na mtikila kupinga mahakama ya kadhi
Siyo bure, ushachangishwa helikopta weye!we kilaza vipi?
-hebu na wewe piga hela kidini !
....Get well soon!!!
Umoja ni nguvu.
Amen, Umoja ni nguvu, may God heal him soon.
Jopo la maaskofu kutoka madhebehu mbali wamefika Hospitali ya TMJ jioni ya leo Tarehe 30/3/2015 kumjulia hali Askofu Gwajima
Pia Askofu Vernon Fernandes akiwa na mkewe pamoja na askofu Mwasota wafika jioni ya leo Hospitali ya TMJ Kumjulia hali Askofu Gwajima
Mchungaji Peter Nyaga alifika pia kumuombea Askofu Gwajima hospitalini TMJ, maaskofu wote wameridhishwa na hali ya afya ya Askofu Gwajima kwa kuwa afya yake imeimarika sana.​