PICHA: Inauma, wanahitaji msaada

Inauma sana mazee, jk anaahidi maviwanja ya ndege ya kisasa, nani anauwezo wa kupanda hizo ndege na kwenda wapi?? ikiwa hata uwezo wa kununua dawa ya kutuliza homa ni homa, watanganyika tufungue majicho, kama tumelogwa siamini!!
Hao unaowaona hapo shidani wakipewa vitenge na t-shirt za kijani pambafu!! wanakuwa vipofu, sijui tuwasomeane albadili!!!
 
Tena unaweza kuta ni wanachama wa CCM hao na tarehe 31 oct wanakipa CCM kura.
Unajua kuna watu wanashindwa kuconnect umaskini wao kuwa unatokana na uongozi mbovu wa CCM na serikali yake.
 
pombe bwana!!


ambulance.jpg
 
So it means that bajaji ndo zitakuwa Ambulance,Aaaah inasikitishaa kwakweliiiiii
 
Ndiyo taabu ya wadanganyika, mahangaiko kibao
lakini ikifika wakati wa uchaguzi
Kikofia, Jero, Khanga basi wote wamegeuka kabisa wanasema maisha si ndiyo haya.
Ni lazima tubadilike
People power...........
 
poleni labda mngoje bajaji za serikali zitakuja mwaka wa fedha mwaka 2019/20 wakati msichana huyu akiwa mama mzima. poa tu yeye anapata shida lakini mwanae atakuja kufaidi. Nchi hii inahitaji vision na uongozi bora... Kuna fyucha mzee
 
Tena unaweza kuta ni wanachama wa CCM hao na tarehe 31 oct wanakipa CCM kura.
Unajua kuna watu wanashindwa kuconnect umaskini wao kuwa unatokana na uongozi mbovu wa CCM na serikali yake.

Wanaweza ku-connect. Hawana la kufanya tu. Vyama vya upinzani vyenyewe ndio hivyo - mabingwa wa kuchochea ghasia na umwagaji damu.
Wengi wetu tunakubali kuishi maisha ya dhiki kwa amani, mpaka hapo kitakapopatikana chama cha upinzani chenye akili.:A S-frusty2:
 
Trying to see how I can help my society! Can't help all of them but will definately do my part
 
Back
Top Bottom