Ngangasyonga
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 455
- 70
Inauma sana mazee, jk anaahidi maviwanja ya ndege ya kisasa, nani anauwezo wa kupanda hizo ndege na kwenda wapi?? ikiwa hata uwezo wa kununua dawa ya kutuliza homa ni homa, watanganyika tufungue majicho, kama tumelogwa siamini!!
Hao unaowaona hapo shidani wakipewa vitenge na t-shirt za kijani pambafu!! wanakuwa vipofu, sijui tuwasomeane albadili!!!
Hao unaowaona hapo shidani wakipewa vitenge na t-shirt za kijani pambafu!! wanakuwa vipofu, sijui tuwasomeane albadili!!!