pombe bwana!!
selikali haina hata aibu, imefika kipindi naichukia kabisa, nikiona hata sura ya JK tu kwenye luninga, natamani kuzima tv
CCM Oyeee.. Kweli inauma kwa mfano unapoona US$ 15,000 (waliyojigawia kutoka kwenye kodi yetu au kuchangiwa na waliowasamehe kodi) wanatumia kumkodishia ndege yule kimbelembele kwa saa 5 tu
huyo alikumbwa na masaibu hayo wakati mabomu yalipolipuka mbagalaHiyo picha ya mwisho huyo mama mbona kama hana nguo?.....ni mgonjwa au mgoni maana hilo kundi lote la nini sasa?....samahani lakini
ccj is no more, why not join chadema mamaTatizo la chadema ukabila. siwaamini watu wa huko maeneo ya arusha, moshi manyara. chadema is just a company. Labda tu hope for CCJ.
lastly, soma uokoe jamii yako.
Inaniuma na inasikitisha sana.Ona wanampokea kama mfalme.
Tuache kuandika humu ndani twendeni huko vijijini tukawaeleze ukweli halisi watanzania wenzetu.Muda wa mabadiliko umewadia.
Wataletewa Bajaj 400 wakichagua CCM wataletewa Landcruser Mkonge wakichagua CHADEMA
Tatizo la chadema ukabila. siwaamini watu wa huko maeneo ya arusha, moshi manyara. chadema is just a company. Labda tu hope for CCJ.
lastly, soma uokoe jamii yako.
ni kweli usemvyo,lazima kura zilindwe! vinginevyo sijui!Tetesi zinaonesha kuwa hata tukipiga kura kuleta mabadiliko hakutakuwa na mshindi atakayetangazwa mbali na Jk. Sababu ni kuwa kuna wizi mkubwa umeandaliwa na CCM so inabidi tulinde kura zetu maana kuna uwezekano wa kushinda uchaguzi wa Urais na akatangazwa mwingine.