Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,883
- 157,109
Hilo taifa watalikuta bado?chadema wanataka kuligawa taifa
Linauzwa vipande vipande na ccm kila siku
Hilo taifa watalikuta bado?chadema wanataka kuligawa taifa
chadema wanataka kuligawa taifa
Hao waarabu wenyewe wamekuja kidini dini,
Kwanini wavae makanzu yao? Suti hawazijui?
Hayo ameyasema Rais mstaafu Jakaya mrisho kikwete
Na kweli sio vizuri kuchanganya dini na siasaView attachment 2723188View attachment 2723189
Ana mawazo ya kiumbe kinacho karibia kukata roho.Nadhani mawazo yake
Ubaya wake ni nini? Kwamba kabla hamjauana mnapiga dua?Na ni pabaya sana hakuna vita mbaya kama ya udini