Ndiyo unavyowaza au walikuambia?chadema wanataka kuligawa taifa
matendo yao yanajieleza mkuuNdiyo unavyowaza su walikuambia?
DIPI WEDI?😂Ngoja waje
Usiendeshwe na hisia hasi.Utaishia kudanganya watu tu.matendo yao yanajieleza mkuu
Umelewa?chadema wanataka kuligawa taifa
Likigawanywa kama India na Pakistan itakuwa poa sana. Waislam wapewe eneo lao na Wakristu wapewe eneo lao halafu baada ya miaka 3 tuone kina nani watakuwa wanazamia kwa wenzakechadema wanataka kuligawa taifa
hao watu ni hatari sana kwa taifa hamjui tuhUmelewa?
Sasa ni saa 20:32 na ni jumapili obviously muda huu kwa mlevi akili haiwezi kuwa iko active kuwaza mambo ya msingi,hii nchi kila mtu anapiga kelele hao chadema umewa-mention hapo wa kazi gani?
hilo haliwezi kuachwa litendeke mkuu na uzuri wananchi wameanza kuwapuza toka 2010-15Likigawanywa kama India na Pakistan itakuwa poa sana. Waislam wapewe eneo lao na Wakristu wapewe eneo lao halafu baada ya miaka 3 tuone kina nani watakuwa wanazamia kwa wenzake
Watu gani?hao watu ni hatari sana kwa taifa hamjui tuh