Kijini
Member
- Aug 17, 2007
- 36
- 6
Hivi yupo Mtanzania ambaye hajawahi kupata manung'uniko kuhusu hali na huduma za afya nchini?
Madaktari kugoma naona hii ni arobaini tu maana hali imekuwepo toka muda mrefu! Na nilishamsikia docta mmoja mgeni katika clinic private akisema Tanzania moja ya urahisi katika kazi yake hana pressure ya kulalamikiwa hata asipogundua ugonjwa au kutibu vizuri.
Maana yake hali ni mbaya hasa hata hawa madaktari wetu wakirudi bila vifaa na mazingira machafu hivi sijui hiyo kazi itafanyikaje?
Leo Legal and Human Rights Centre wanaenda Muhimbili walisubiri nini muda wote huo? Ukizingatia afya ni moja ya haki za kibinadamu (Basic Human Rights) Na mchukue hatua ili tuone ikiwa mko HURU na serikali yetu na ikiwa mnafanya kazi kweli!
Kulikuwa na haja gani ya kufanya sherehe kubwa za Uhuru? Inasikitisha sana.
Democracy is the worst system with exception of all others - Aliyechaguliwa lazima alipe fadhila na hawezi kuwageuikia wafadhili mwisho wa siku Mwananchi is always the loser!
Madaktari kugoma naona hii ni arobaini tu maana hali imekuwepo toka muda mrefu! Na nilishamsikia docta mmoja mgeni katika clinic private akisema Tanzania moja ya urahisi katika kazi yake hana pressure ya kulalamikiwa hata asipogundua ugonjwa au kutibu vizuri.
Maana yake hali ni mbaya hasa hata hawa madaktari wetu wakirudi bila vifaa na mazingira machafu hivi sijui hiyo kazi itafanyikaje?
Leo Legal and Human Rights Centre wanaenda Muhimbili walisubiri nini muda wote huo? Ukizingatia afya ni moja ya haki za kibinadamu (Basic Human Rights) Na mchukue hatua ili tuone ikiwa mko HURU na serikali yetu na ikiwa mnafanya kazi kweli!
Kulikuwa na haja gani ya kufanya sherehe kubwa za Uhuru? Inasikitisha sana.
Democracy is the worst system with exception of all others - Aliyechaguliwa lazima alipe fadhila na hawezi kuwageuikia wafadhili mwisho wa siku Mwananchi is always the loser!