Picha: Gamba jipya W. Malecela yuko wapi? Bilal akutana na Watanzania waishio New York

Mbona unakimbilia kugombanishwa na chama hatuoni hoja yeyote hapa, kumbe unajua Facebook ni sehemu ya kukenulia meno mbona umesema picha yako na Bilal iko kule ina maana inakenua meno kule, tatizo lako uko selfish sana unataka kila thread ikusifie for nothing.

1. Tunapotaka kukenua meno, tunaenda Facebook lakini tunapotaka kujadili Taifa tunakuja hapa kwanza, lakini one thing ni kwamba hatuji hapa kukenua meno! NEVER!

2. Mimi ni Capitalist ambayo msingi wake ni selfishness ndio maana Communism ilishindwa kwa sababu ilikuwa ni against nature ya sisi bin-adam yaani u-selfishness, so I take this a s a compliment and I love it!

MUCH RESPECT!


William @ NYC, USA.
 
Huyo ni William Gamba Jipya hahahahahah William @ NYC, USA, Mgogo watu watajuaje kama yuko majuu?

- Well, jina langu ni William Malecela, picha yangu ile pale juu kushoto, ninaishi New york City, kabila yangu Mogogo: labda na wewe useme au endelea kukimbia kivuli chako, karibu sana mkuu wangu! ha! ha! ha! ni mambo ya uwazi bila kuficha wala kuogopa!

William @ NYC, USA.
 
Ndugu W. Malecela, unaweza kukikuza kidonda mwilini mwako kwa kukuna kinapowasha na unaweza kutokikuza kidonga kwa kutokuna kinapowasha kwa vile mwasho ni dalili ya kupona. Hapa kuna watu wengi na wengi pengine wazito kuliko tunavyofikiri kwa vile hapa ni uwanja wa free speech, freedom of speaking na hiyo imesaidia kuelimisha wengi, kufunza wengi na kuwajengea hali ya wengu misingi ya kujiamini. Sitakuwa na shaka hata wakuu wa nchi wanaingia humu kwa majina wanayojua wao ili kulinda heshima zao. Hata William Malechela anapoingia hapa jamii forums kwa jina jingine, huwa hapati mashambulizi kama hayo, na si william Malecela tu wengi hushambuliwa kuliko wewe.

Nakumbuka kuna siku nimemshambulia sana Dr. Slaa hapa kutokana na isue ya kumsimanisha madaraka kiongozi mmoja wa Chadema kule nzega akiwa jukwani, hili ni jukwaa huru na ukijionyesha wewe nani watu watapenda kukupembua na kusoma mlengo wako kijamii. Na kama umeamua ufahamike hivyo, Ndungu Malecela hunasababu ya kuzozana na wanajamvi, kwa kuwa kupanga ni kuchagua na mantiki ya athari zake ulishayajua ukaamua kwa kujua na kutaka, ukajirisha na haya yatokeayo hayakwepeki. Just ignore and stay peacefully (Pax domini).

- Mkuu heshima yako sana, samahani sana kama umekwazika, lakini hapa hatuzozani ila tunajadiliana kwa JF style yaani in youf face kumkoma nyani style, maana tupo hapa kwa miaka mingi sana kwa hiyo sidhani kama kuna anything kuhusu majina kamili na ya bandia ambalo hatujui, au nani na nani hawapo au wapo hapa JF ni irrelevant wala hahihusu,

- The point ni kwamba wewe una haki ya kutoa maoni yako na mimi pia ninayo, usikwazike sana mkuu jifunze kuielewa JF hii ni kawaida sana nenda uangalie thread za zamani ndio utaelewa.

Siku njema Sana Mkuu!


William @ NYC, USA.
 
Anafikiri mtu kujulikana yuko nyuyoko ni ujiko wakati wengine tunaona ni ubishoo......Feedback@ Tehran, Iran Ha ha haa.

- Well, unaruhusiwa kusema ulipo hujakatazwa, mimi nipo New York City wewe upo wapi mkuu sana au Iran? karibu sana tumkome nyani hapa!

William @ NYC, USA.
 
Ni picha na Kijana W. malecela hakuwepo; so is that painful to understand? evidence picha... from Mohamed Dewji Blog as well as Issa Michuzi

Sasa fitina iko wapi? tulidhani any function in NY Mtoto wa Mkubwa kile Malecela angehudhuria, kuna ubaya hapo?

I'm nice human being I don't have Enemies... just love Political News and Political Gossip's is that painful 2 U all???

- Mkuu easy, kwenye sherehe nilikuwepo ila picha hwua tunaweka Facebook, sio hapa tunajadili taifa sio picha, HOWEVER: karibu sana! na pia ninakushuru kwa free publicity, hope utarudia tena soon!

William @ NYC, USA.
 
What is too low yaani kubandika picha bila ya William ndiyo too low mimi naona wewe unataka kununua kesi halafu mambo ya mke wa Slaa yanaingiaje hapa.

Tatizo la rafiki yako ni ubishororo anataka kusiwa kila wakati mtu wa dataz hupenda kuanzisha thread na kujiandika jina tena kwenye heading anaona akiandika bila jina lake hatutajua ni yeye kaanzisha (selfish), huwa anatuletea picha zake za mikutano ya NYK mara kwa mara nani huwa analaumu leo kaona hizi hayupo ndipo anataka kutisha watu ambao wamecopy tu kutoka kwenye blog zingine, mnachotakiwa ni kuongea na zilikotoka kwa nini picha zake zimetolewa kama ni kweli zilikuwepo na si kuanza kumlaumu nng007 bila sababu za msingi.

- Mkuu unayemzungumzia ndio mimi, nilikuwepo kwenye mkutano I am a Capitalist which celebrates individualism, nitashukuru kama utanionyesha sheria ya jamhuri niliyovunja na mambo yangu ambayo inaonekana yanakukera sana, well ndio maana ya Demokrasia mkuu ni kuvumuliana,

- kuja kuniandika hapa for anything unaniongezea umaarufu tu ule ule unaokusumbua on me and I love it, sasa unaona hasira ni hasara sana maana unaishia kufanya exactly usichokitaka, well wembe ni ule ule ila ushauri wa bure next time nikijitangaza usifungue channel au? ha! ha! ha! ha! ha!


William @ NYC, USA
 
Hi ndio inaitwa This is jamii form frum wenyewe wanasema great thinkers.

U re reading Politics subforum thread tiitled "picha gamba-jipya-w-malecela-yuko-wapi-bilal-akutana-na-watanzania-waishio-new-york." hii ni Page ya sita and counting. teh teh teh

Kweli safari ya ukombozi Tanzania bado sana na matatizo tuliyoano ni zaidi ya CCM.

Nilitegema kwenye siasa hapa badala ya kuleta mapicha na maudhurio mleta mda ungeleta theme za nini kilichozungzwa huko.

William @ NYC huo mkusanyiko mliongea nini?
 
Hi ndio inaitwa This is jamii form frum wenyewe wanasema great thinkers.

U re reading Politics subforum thread tiitled pichagamba-jipya-w-malecela-yuko-wapi-bilal-akutana-na-watanzania-waishio-new-york. hii ni Page ya sita and counting. teh teh teh

Kweli safari ya ukombozi Tanzania bado sana na matatizo tuliyoano ni zaidi ya CCM.

Nilitegema kwenye siasa hapa badala ya kuleta mapicha na maudhurio mleta mda ungeleta theme za nini kilichozungzwa huko.

William @ NYC huo mkusanyiko mliongea nini?

- Nilimuuliza Makamu maswali manne:-

1. Foleni za magari bongo: vipi serikali inajua na ina mpango gani?

2. Ajali za magari bongo: vipi serikali ina mpango wowote wa kuingilia kati maana wananchi wetu wanakufa sana.

3. TPDC: kwa nini kampuni ya mafuta Tanzania isipewe jukumu la kisheria kumiliki vituo vya kuuzia mafuta kupunguza uhuni wa bei na kuchakachuliwa mafuta!

4. Vituo vya mafuta ya magari Bara bara ya Dar to Morogoro: mbona vingi sana kuliko wanunuaji? Je serikali inajua kwamba vinatumika kuchakachua mafuta?

- Haya ndio maswali niliyomuuliza makamu na alitoa majibu pia na nilipta nafasi chemba ya kumuuliza kuhusu mambo ya CCM na magamba si unajua sikutaka kumwaga mtama kwenye kuku wengi!, ila one thing sikuenda pale kukenua meno na kusubiri picha! ha! ha! ha! TAIFA KWANZA KAMA KAWAIDA!

Thaanks!


William @ NYC, USA.
 
- Mkuu heshima yako sana, samahani sana kama umekwazika, lakini hapa hatuzozani ila tunajadiliana kwa JF style yaani in youf face kumkoma nyani style, maana tupo hapa kwa miaka mingi sana kwa hiyo sidhani kama kuna anything kuhusu majina kamili na ya bandia ambalo hatujui, au nani na nani hawapo au wapo hapa JF ni irrelevant wala hahihusu,


- The point ni kwamba wewe una haki ya kutoa maoni yako na mimi pia ninayo, usikwazike sana mkuu jifunze kuielewa JF hii
ni kawaida sana nenda uangalie thread za zamani ndio utaelewa.

Siku njema Sana Mkuu!


William @ NYC, USA.

Nakubaliana nawe Malecela, ila mara kadhaa nimeona hapa JF wengi wanajaribu kuwarudi ambao wanaelekeza mashambulize kwa misingi ya personal attack, na kwa mtazamo wangu sioni kama kwa njia hiyo tunaweza jenga hoja na kupata suluhisho la alilokusudia mtoa mada. Na pengine tumeendekeza mwelekeo wa utani ambao wengine wanatafsiri kama ni kumshambulia mtu. Lakini inapoelekea mtoa mada kashtushwa kutokana na dalili ya kwamba katika habari aliyoandika inamlenga fulani bila kukusudia ningetazamia kwamba hataendelea na msisitizo huo ili watu tuendelee kujadili kilichojilia.

Uwepo wa muda mrefu JF si kigezo cha ubora au uelewa, kwani hata katika biblia tunakumbuka Kijana Daniel aliweza kuwa na hekima kupita wazee na kuwatia hatiani wazee waliomsingizia msichana kuwa amekuwa na uhusiano bustanini na mtu fulani kumbe ilikuwa ni revange yao baada ya msiichana kuwazidi kete na hivyo kujijokoa. Wengi walijiunga jamii forums muda mrefu lakini hawakuwa active kwa vile haikuwa na mvuto kwa kiwango cha sasa.
 
- Nilimuuliza Makamu maswali manne:-

1. Foleni za magari bongo: vipi serikali inajua na ina mpango gani?

2. Ajali za magari bongo: vipi serikali ina mpango wowote wa kuingilia kati maana wananchi wetu wanakufa sana.

3. TPDC: kwa nini kampuni ya mafuta Tanzania isipewe jukumu la kisheria kumiliki vituo vya kuuzia mafuta kupunguza uhuni wa bei na kuchakachuliwa mafuta!

4. Vituo vya mafuta ya magari Bara bara ya Dar to Morogoro: mbona vingi sana kuliko wanunuaji? Je serikali inajua kwamba vinatumika kuchakachua mafuta?

- Haya ndio maswali niliyomuuliza makamu na alitoa majibu pia na nilipta nafasi chemba ya kumuuliza kuhusu mambo ya CCM na magamba si unajua sikutaka kumwaga mtama kwenye kuku wengi!, ila one thing sikuenda pale kukenua meno na kusubiri picha! ha! ha! ha! TAIFA KWANZA KAMA KAWAIDA!

Thaanks!


William @ NYC, USA.

Kwa mtazamo wangu hayo maswali manne na majibu yake ndio yalikuwa na tija kwa Taifa na ndio yalipaswa kuanzishiwa thread, ndugu wanajamvi ebu tujaribu kuwa makini tupost vitu vyenye tija ili mijadala iwe mizito na manufaa kwa nchi yetu.
Huyu mleta mada alitaka kukubeza, matokeo yake amebezeka yeye. kama wanamagamba wenzako wangekuwa na uwezo kama wako wa kupanguwa hoja na kujenga hoja na kuitetea hoja, kwa kweli JF ingezidi utamu.

Tatizo magamba wengi wanaoingia humu ni puppets ambao hawajui hata uchungu wa pesa za internet bundlle, matokeo yake wanageuka kuwa kituko humu kwenye forum.
Nadhani katika unayowashauri magamba wenzako waambie wazi hili la kuleta humu puppets ni wrong strategy kwa chama chenu.
 
Nakubaliana nawe Malecela, ila mara kadhaa nimeona hapa JF wengi wanajaribu kuwarudi ambao wanaelekeza mashambulize kwa misingi ya personal attack, na kwa mtazamo wangu sioni kama kwa njia hiyo tunaweza jenga hoja na kupata suluhisho la alilokusudia mtoa mada. Na pengine tumeendekeza mwelekeo wa utani ambao wengine wanatafsiri kama ni kumshambulia mtu. Lakini inapoelekea mtoa mada kashtushwa kutokana na dalili ya kwamba katika habari aliyoandika inamlenga fulani bila kukusudia ningetazamia kwamba hataendelea na msisitizo huo ili watu tuendelee kujadili kilichojilia.

Uwepo wa muda mrefu JF si kigezo cha ubora au uelewa, kwani hata katika biblia tunakumbuka Kijana Daniel aliweza kuwa na hekima kupita wazee na kuwatia hatiani wazee waliomsingizia msichana kuwa amekuwa na uhusiano bustanini na mtu fulani kumbe ilikuwa ni revange yao baada ya msiichana kuwazidi kete na hivyo kujijokoa. Wengi walijiunga jamii forums muda mrefu lakini hawakuwa active kwa vile haikuwa na mvuto kwa kiwango cha sasa.

- Well kila mchezo Duniani una rules zake, sasa kama umeingia hapa I hope unajua mapema what you are getting your self into, mimi sijawahi kuwa na mtizamo kama wako, ninamini huu ni uwanja huru wa kila mwananchi kutoa maoni yake, it does not matter maoni yale yanamuhusu nani yakielekezwa kwangu ni mambo ya territory, watu hawarushii mawe kwa wingi mti wenye matunda mabaya so undertsand that!

- Well, mtangulizi hanwyi maji machafu aliyewahi hapa hawezi kuwa sawa na anayeingia leo, na hujulikana kwa hoja na maneno yake mwenyewe yaani mgeni, ndio maana unaweza kukwazika na ishus ambazo sisi wa zamani tunaona ni kawaida ya JF style, yaani kumkoma nyani in your face! hapa hatuna peremende wala pipi ni mawe na fimbo tu, so karibu sana mkuu wangu, ukiona hayakuhusu unawachia yanaowahusu wapo wengi siku zote hapa!


William @ NYC, USA.
 
- Nilimuuliza Makamu maswali manne:-

1. Foleni za magari bongo: vipi serikali inajua na ina mpango gani?

2. Ajali za magari bongo: vipi serikali ina mpango wowote wa kuingilia kati maana wananchi wetu wanakufa sana.

3. TPDC: kwa nini kampuni ya mafuta Tanzania isipewe jukumu la kisheria kumiliki vituo vya kuuzia mafuta kupunguza uhuni wa bei na kuchakachuliwa mafuta!

4. Vituo vya mafuta ya magari Bara bara ya Dar to Morogoro: mbona vingi sana kuliko wanunuaji? Je serikali inajua kwamba vinatumika kuchakachua mafuta?

- Haya ndio maswali niliyomuuliza makamu na alitoa majibu pia na nilipta nafasi chemba ya kumuuliza kuhusu mambo ya CCM na magamba si unajua sikutaka kumwaga mtama kwenye kuku wengi!, ila one thing sikuenda pale kukenua meno na kusubiri picha! ha! ha! ha! TAIFA KWANZA KAMA KAWAIDA!

Thaanks!


William @ NYC, USA.

Malecela, hapa si kitubio, ulikuwepo au hukuwepo hatujali, hayo ya kumwuliza makamu dr juu ya kuvuana magamba yanawahusu wanamagamba wenyewe. Ila kwa mtazamo wangu kuna hali ambayo tunahitaji kuwa flexable juu ya mambo ya kitaifa na itikadi za magamba. Tukiendekeza itikadi za magamba na magwanda matokeo yake ndio hayo mkuu wa nchi anapotaka kusalimiana na watanzania anakutana na idadi kama ya kuitembelea familia tofauti na watanzania hao hao wanapokwenda kwenye starehe kule ukumbini New Rochelle - NY ciity., pikiniki ya huko Maryland, Texas, au Minesota.
Jana nilikuambie Mr. Malecela, nahitaji kuja kufanya uamsho wa watanzania kuwa na hulka na moyo wa uzalendo kwanza badala ya kufikiria magwanda na magamba ambayo huweka ufa kati yetu. Ukomavu wa kisiasa bado sana, ndio maana unaona jambo likitenda na watu wa magwanda hata mkuu wa nchi huzila na kutuma mgambo kwenda kuwaadhibu. Je wakikutana kwenye party wanaweza cheza rumba na kuzunguka mdura huku wameshikana mikono au ukiwa na magamba ni nuksi kwa wenye magwanda?
 
- Nilimuuliza Makamu maswali manne:-

1. Foleni za magari bongo: vipi serikali inajua na ina mpango gani?

2. Ajali za magari bongo: vipi serikali ina mpango wowote wa kuingilia kati maana wananchi wetu wanakufa sana.

3. TPDC: kwa nini kampuni ya mafuta Tanzania isipewe jukumu la kisheria kumiliki vituo vya kuuzia mafuta kupunguza uhuni wa bei na kuchakachuliwa mafuta!

4. Vituo vya mafuta ya magari Bara bara ya Dar to Morogoro: mbona vingi sana kuliko wanunuaji? Je serikali inajua kwamba vinatumika kuchakachua mafuta?

- Haya ndio maswali niliyomuuliza makamu na alitoa majibu pia na nilipta nafasi chemba ya kumuuliza kuhusu mambo ya CCM na magamba si unajua sikutaka kumwaga mtama kwenye kuku wengi!, ila one thing sikuenda pale kukenua meno na kusubiri picha! ha! ha! ha! TAIFA KWANZA KAMA KAWAIDA!

Thaanks!


William @ NYC, USA.

The true measure of a man is how he treats someone who can do him absolutely no good...

At least we will be able to prevent the advent of negative conduct dominated by negative emotion. That is 'shila', or moral ethics. Once we develop this by familiarizing ourselves with it, along with mindfulness and conscientiousness, eventually that pattern and way of life will become a part of our own life as we as members of Jamii Forum I really like this forum in one way It give us the freedom we never had since our humanity robbed by the RULING PARTY...

My article was conducive but I'm Impressed that you were there and you did ask questions...
 
Kwa mtazamo wangu hayo maswali manne na majibu yake ndio yalikuwa na tija kwa Taifa na ndio yalipaswa kuanzishiwa thread, ndugu wanajamvi ebu tujaribu kuwa makini tupost vitu vyenye tija ili mijadala iwe mizito na manufaa kwa nchi yetu.
Huyu mleta mada alitaka kukubeza, matokeo yake amebezeka yeye. kama wanamagamba wenzako wangekuwa na uwezo kama wako wa kupanguwa hoja na kujenga hoja na kuitetea hoja, kwa kweli JF ingezidi utamu.

Tatizo magamba wengi wanaoingia humu ni puppets ambao hawajui hata uchungu wa pesa za internet bundlle, matokeo yake wanageuka kuwa kituko humu kwenye forum.
Nadhani katika unayowashauri magamba wenzako waambie wazi hili la kuleta humu puppets ni wrong strategy kwa chama chenu.

- Hoja yangu ya msingi katika hii thread ni kwamba Facebook ndio mahali pa kukenua meno na mapicha, sio hapa I hope now you can see clear my point, mwanzoni kabisa sikumuelewa mleta mada, lakini alipojibu tu ndio nikamuelewa anachokitaka na asichokitaka na ndio maana sasa kinaanza kueleweka!

- Nimesikia fununu kuhusu wanaotumwa kuja hapa, tatizo moja ni kwamba wana kazi ngumu sana mbele yao kwa sababu kuna yasiyowezekana kutetewa, HALAFU wengi wao nawaona kuwa na dharau sana ya kujiona wanajua sana kuliko wengi humu, matokeo yake wanaishia kuondolewa kwenye hoja zao za msingi na kuanza kufuata matusi na kejeli ya wanaowashambulia which defeats the whole idea ya wao kuja hapa kutuelimisha,

- Ukisoma kitabu cha GW Bush Decision, the main argument yake ni kwamba stand to your gun regardless of what in the end either uta-prevail au utapata compromise na the most important utapata heshima ya binafsi, ushauri wangu kwa wanaotumwa kuja hapa ni kwamba jaribuni kuwa na FACTS, ninashangaa sana kuona na wao wanakuja hapa na facts ambazo ni very fragile wka walioko jikoni, Pili waheshimuni wananchi hapa kwa sababu ni haki yao kuuliza maswali ya aina yoyote kuhusu serikali yao, acheni hasira na dharau ndio maana mnatolewa kirahisi sana kwenye hoja zenu na kupelekwa kichwa kichwa kwenye matusi na kejeli!

- Unajua juzi nimecheka sana kwenye ile topic ya Bashe na Kingwangala, ile thread ni mfano mzuri sana wa ninachokisema na nilikaa na kiongozi mmoja mzito sana wa serikali ya sasa nikamuonyesha jinsi wanaotumwa hapa walivyo na uwezo mdogo sana wa kufikiri na kuielewa JF na yeye akacheka sana, maana you can tell waliotumwa kwenye ile thread na wasiotumwa, halafu nikamuonyesha jinsi walivyokimbia mapema sana baada tu ya kutikiswa kidogo, badala ya kukomalia hoja mpaka mwisho, hii ni mara yangu ya kwanza kutoa ushauri wangu kwa wanaotumwa I hope wamenisikia na sitarudia tena!

William @ NYC, USA.
 
- Well kila mchezo Duniani una rules zake, sasa kama umeingia hapa I hope unajua mapema what you are getting your self into, mimi sijawahi kuwa na mtizamo kama wako, ninamini huu ni uwanja huru wa kila mwananchi kutoa maoni yake, it does not matter maoni yale yanamuhusu nani yakielekezwa kwangu ni mambo ya territory, watu hawarushii mawe kwa wingi mti wenye matunda mabaya so undertsand that!

- Well, mtangulizi hanwyi maji machafu aliyewahi hapa hawezi kuwa sawa na anayeingia leo, na hujulikana kwa hoja na maneno yake mwenyewe yaani mgeni, ndio maana unaweza kukwazika na ishus ambazo sisi wa zamani tunaona ni kawaida ya JF style, yaani kumkoma nyani in your face! hapa hatuna peremende wala pipi ni mawe na fimbo tu, so karibu sana mkuu wangu, ukiona hayakuhusu unawachia yanaowahusu wapo wengi siku zote hapa!


William @ NYC, USA.

Superiority ni mbegu tuliyo nayo wabantu na ndio kitu kinachotutesa siku zote. Nyerere, Kawawa na waandamizi wengine wa kudai uhudu katika nchi yetu waliliona hili mapema ndi ndio wakafuta uchifu na kuanzisha jeshi la kujenga taifa tu kuknutraizi hali hiyo, na alifanikiwa, lakini baadaye magamba yale yamerudi kwa kasi sana na ndiyo yanayotutesa.

Kuna watu wanaojiona kama wana haki na wenye kuona zaidi ya wengine, kwa maana hiyo aliye darasa la kwanza kuja kurusha ndege aliyoshindwa wa darasa la tano ni makosa ndio hulka ya watanzania tulivyo. Tuna kazi sana na ndio tunaweka kando hata mapokea ya utamaduni wetu kwa kubwaga maiti barabarani eti tu kwa vile hawa ni wafuati wa magwanda wenye itikadi tofauti na mabamba.

Hili la kujiona mtangulizi ndilo linalotesa sasa katika nchi yetu kujiona magamba is the best than new generation, siamini hivyo, sikubaliani na hoja hiyo na niko open to any good idea to any generation. Kwa mtazamo huo mtu anaweza kumbeza mtoto wake anayemtahadhalisha babake kwamba kuna dalili ya simba kuja, babake atasema yeye ni mzee mzoefu anajua zaidi hadi watakapovamiwa ndio ataelewa dogo alikuwa rite.
 
- Well kila mchezo Duniani una rules zake, sasa kama umeingia hapa I hope unajua mapema what you are getting your self into, mimi sijawahi kuwa na mtizamo kama wako, ninamini huu ni uwanja huru wa kila mwananchi kutoa maoni yake, it does not matter maoni yale yanamuhusu nani yakielekezwa kwangu ni mambo ya territory, watu hawarushii mawe kwa wingi mti wenye matunda mabaya so undertsand that!

- Well, mtangulizi hanwyi maji machafu aliyewahi hapa hawezi kuwa sawa na anayeingia leo, na hujulikana kwa hoja na maneno yake mwenyewe yaani mgeni, ndio maana unaweza kukwazika na ishus ambazo sisi wa zamani tunaona ni kawaida ya JF style, yaani kumkoma nyani in your face! hapa hatuna peremende wala pipi ni mawe na fimbo tu, so karibu sana mkuu wangu, ukiona hayakuhusu unawachia yanaowahusu wapo wengi siku zote hapa!


William @ NYC, USA.

Mkuu vp dah, nimeku wait sana nimeku inbox fb na kuku pm bt inakataa.
Ok inshort kuna bro wangu mmoja alisoma na wewe kule kwiro sasa naona kama data anazonipa ni changa la macho anyway hebu niweke sawa mkuu ulipata div ngapi pale Kwiro. Then ulifaulu primary au nawe ulitumia tactics za kaka yetu wa nzega?
Sorry mkuu niweke sawa mana nahisi data za bro zina utata!
Sorry pia mkuu kama itakukwaza or kama noma kujibia hapa uta ni pm mkuu. Mm ni yule yule hope u r'mber me.
 
The true measure of a man is how he treats someone who can do him absolutely no good...

At least we will be able to prevent the advent of negative conduct dominated by negative emotion. That is 'shila', or moral ethics. Once we develop this by familiarizing ourselves with it, along with mindfulness and conscientiousness, eventually that pattern and way of life will become a part of our own life as we as members of Jamii Forum I really like this forum in one way It give us the freedom we never had since our humanity robbed by the RULING PARTY...

My article was conducive but I'm Impressed that you were there and you did ask questions...

- Ha! ha! ha! ha! ha! Hilarious!, Woow did you allow someone to rob you your humanity? ha! ha! JF I love this game! ha! ha! ha! you are impressed now? ha! ha! ha! ha! ni mwendo wa kujivua vua ndugu yangu! ha! ha!

- Brother Waswahili wanasema akili nyingi huondoa maarifa, kwa kweli you are a genius mkuu, nimekukubali sana!: HOWEVER JF hatufahamiki sana na taifa kwa sababu ya picha, Mkulu Mwanakijiji hafahamiki sana na Taifa kwa sababu ya picha, CCM hawakuilalamikia JF kwa sababu ya picha, do I need to say more? ha! ha! ha! ha!

- Sasa mkuu nakupa homework, nenda utafute JF tunafahamika kwa nini?

William @ NYC, USA.
 
Superiority ni mbegu tuliyo nayo wabantu na ndio kitu kinachotutesa siku zote. Nyerere, Kawawa na waandamizi wengine wa kudai uhudu katika nchi yetu waliliona hili mapema ndi ndio wakafuta uchifu na kuanzisha jeshi la kujenga taifa tu kuknutraizi hali hiyo, na alifanikiwa, lakini baadaye magamba yale yamerudi kwa kasi sana na ndiyo yanayotutesa.

Kuna watu wanaojiona kama wana haki na wenye kuona zaidi ya wengine, kwa maana hiyo aliye darasa la kwanza kuja kurusha ndege aliyoshindwa wa darasa la tano ni makosa ndio hulka ya watanzania tulivyo. Tuna kazi sana na ndio tunaweka kando hata mapokea ya utamaduni wetu kwa kubwaga maiti barabarani eti tu kwa vile hawa ni wafuati wa magwanda wenye itikadi tofauti na mabamba.

Hili la kujiona mtangulizi ndilo linalotesa sasa katika nchi yetu kujiona magamba is the best than new generation, siamini hivyo, sikubaliani na hoja hiyo na niko open to any good idea to any generation. Kwa mtazamo huo mtu anaweza kumbeza mtoto wake anayemtahadhalisha babake kwamba kuna dalili ya simba kuja, babake atasema yeye ni mzee mzoefu anajua zaidi hadi watakapovamiwa ndio ataelewa dogo alikuwa rite.

- Well, mkuu sana kwanza unachanganya mambo mengi sana ambayo wala hayahusiani, kila ishu ina mahali pake na wakati wake, kuna ishus ambazo utangulizi ni hoja na kuna ambazo utangulizi sio hoja!

- HOWEVER: cha muhimu ni hoja tu!


William @ NYC, USA.
 
Mkuu vp dah, nimeku wait sana nimeku inbox fb na kuku pm bt inakataa.
Ok inshort kuna bro wangu mmoja alisoma na wewe kule kwiro sasa naona kama data anazonipa ni changa la macho anyway hebu niweke sawa mkuu ulipata div ngapi pale Kwiro. Then ulifaulu primary au nawe ulitumia tactics za kaka yetu wa nzega?
Sorry mkuu niweke sawa mana nahisi data za bro zina utata!
Sorry pia mkuu kama itakukwaza or kama noma kujibia hapa uta ni pm mkuu. Mm ni yule yule hope u r'mber me.

Huku ni kuishiwa hoja + utoto = uzuzu.
sisi wengine kwa umri wetu division za darasani is no longer riqured, hapa ni mchaka mchaka wa maisha, anaeshinda huyo ndio profesa wa maisha.
Vipost vya kitoto kama hivi ndio huwa vinashusha hadhi ya JF. by the way William sio mtumishi wa umma sasa hiyo education back ground yake hapa sisi itatusaidia nini? huu ni utoto.
 
Mkuu vp dah, nimeku wait sana nimeku inbox fb na kuku pm bt inakataa.
Ok inshort kuna bro wangu mmoja alisoma na wewe kule kwiro sasa naona kama data anazonipa ni changa la macho anyway hebu niweke sawa mkuu ulipata div ngapi pale Kwiro. Then ulifaulu primary au nawe ulitumia tactics za kaka yetu wa nzega?
Sorry mkuu niweke sawa mana nahisi data za bro zina utata!
Sorry pia mkuu kama itakukwaza or kama noma kujibia hapa uta ni pm mkuu. Mm ni yule yule hope u r'mber me.

- Well, nimesoma Kwiro Secondary, Mahenge: Morogoro: Full Stop!

- kama unahitaji mengine zaidi naomba ufungulie topic yake kama huyu mleta hii mada alivyofanya, halafu kwa taarifa tu mimi sio kiongozi na wala sigombei anything, so itakuwa ni vyema sana usubiri nikigombea anything kwenye taifa uje na haya maswali yako, lakini karibu sana mkuu! ha! ha! ha!


William @ NYC, USA.
 
Back
Top Bottom