PICHA: CHADEMA wakutana na Kikwete Ikulu

nimefurahia uwepo wa Mnyika..
In brief, hii inadhihirisha CHADEMA wanavyothamini nafasi ya vijana katika mustakhabali wa Taifa letu..
 
Kabla ya sijachangia zaidi. Hawa wapiga picha za habari hizi,mimi sijawapenda. Si bora wangevaa nguo hata asili ya vitenge au khanga? Sijapenda Tshirt na jeans kupokelewa Ikulu! Bungeni tu,kuna code of what you wear. Hata hivyo nimefarijika na bashasha za Rais na kamati ya Chadema,wote wakiwa na nia moja, katiba mpya ya wananchi! Kwa manufaa ya Taifa!
 
One Nationa, One People, One Politics, One Language, only the followers are misled the leaders knows what it means!
 
Kuelewa mmeelewa ila kinachowasumbua ni upuuzi wa Personal attack
ukweli unabaki wazi CHADEMA waliweka msimamo toka mwanzo hawatambui kikwete na hawajawahi kukanusha hilo au wamewahi
lakini leo tunaona wameomba kwenda IKULU kuongea na raisi!!!
Hapo hakuna tatizo? Lini kikwete ametambulika na CHADEMA?
lakini pia wamekuwa wakisema wananchi ni mahakama ya mwisho lakini leo Magogoni imekuwa ni mahakama ya mwisho.
hii ni CCM- C in making

Kweli mkuu lakini huyo ni KILAZA toka kuzaliwa alikosa madini joto!! amedumaa kiakili.

Jitahidi kuchangia kwa kuanza na msitari mmoja na taratibu utaongeza wa pili huku ukijifunza wengine wanavyofanya utafanikiwa kujenga hoja, maana si peke yako tu mwenye matatizo hayo, tupo wengi tu.

Kama shuleni ulikazania sayansi tu na kuweka kiporo masomo ya lugha hapa leo tumeona una kazi ya kufanya mazoezi.
usikate tamaa ipo siku utanyosha vizuri tungo ya mchango wako wa mawazo na kueleweka vizuri.

aisee CV yangu yakwamba nimesoma sayansi umeitoa wapi? umejuaje kama mimi ni mzungu nimejifunza kiswahili kimtindo
ina maana wewe umeweka humu post ili watu tukupigie makofi,
i thought you have some manner, ndivyo kwenye wazazi wako walivyokufundisha kuelekeza wa kwa MOCKING kisha unajiona wewe ni mzalendo kuliko wengine?
tukubali mawazo tofauti sio kila mtu ni kondoo,
Ni kipi kinakupa haki ya kudhani tungo yangu haieleweke au wewe umeshindwa kuelewa kutokana na IQ yako? ina kila usichoelewa wewe basi kina matatizo?
Comment yako ya kwanza umekubaliana na mimi lakini alipokuja huyo hapo nchi ukashusha comment hii ya pili hahahaha una tatizo la kufuata upepe sio?

Unapenda sana kuandika but you are missing one thing hujui kujenga hoja.


cha kusikitisha wali saini mwafaka ni Nchimbi kwa hiyo walikwenda kufanya maongozi na waziri wa michezo au Raisi? kwa nini Nchimbi na waziri wa wizara ya sheria na katiba alikuwepo kwenye hicho kikao?
Nchimbi atafanya utekelezaji gani kwa hayo waliyokubalina?
Bado sio sahihi makubaliano unayofanya na Raisi yakasainiwa na mtu mwingine ndio maana nasema Kikwete kawapiga changa la macho walichofanya CHADEMA ni kujidhalilisha hapo IKULU
kama kuna mtu anadhani mimi ni magamba check post zangu za nyuma
Ukweli lazima usimamiwe
 
Kweli mkuu lakini huyo ni KILAZA toka kuzaliwa alikosa madini joto!! amedumaa kiakili.

Ningekuwa mgeni humo sawa lakini bahati mbaya sio hizi lugha zimezoeleka hasa kutoka kwa watoto walipatikana kwa kupenya/kutoroka ndomu tunawajua kwa lugha zenu
 
Kuelewa mmeelewa ila kinachowasumbua ni upuuzi wa Personal attack
ukweli unabaki wazi CHADEMA waliweka msimamo toka mwanzo hawatambui kikwete na hawajawahi kukanusha hilo au wamewahi
lakini leo tunaona wameomba kwenda IKULU kuongea na raisi!!!
Hapo hakuna tatizo? Lini kikwete ametambulika na CHADEMA?
lakini pia wamekuwa wakisema wananchi ni mahakama ya mwisho lakini leo Magogoni imekuwa ni mahakama ya mwisho.
hii ni CCM- C in making





aisee CV yangu yakwamba nimesoma sayansi umeitoa wapi? umejuaje kama mimi ni mzungu nimejifunza kiswahili kimtindo
ina maana wewe umeweka humu post ili watu tukupigie makofi,
i thought you have some manner, ndivyo kwenye wazazi wako walivyokufundisha kuelekeza wa kwa MOCKING kisha unajiona wewe ni mzalendo kuliko wengine?
tukubali mawazo tofauti sio kila mtu ni kondoo,
Ni kipi kinakupa haki ya kudhani tungo yangu haieleweke au wewe umeshindwa kuelewa kutokana na IQ yako? ina kila usichoelewa wewe basi kina matatizo?
Comment yako ya kwanza umekubaliana na mimi lakini alipokuja huyo hapo nchi ukashusha comment hii ya pili hahahaha una tatizo la kufuata upepe sio?




cha kusikitisha wali saini mwafaka ni Nchimbi kwa hiyo walikwenda kufanya maongozi na waziri wa michezo au Raisi? kwa nini Nchimbi na waziri wa wizara ya sheria na katiba alikuwepo kwenye hicho kikao?
Nchimbi atafanya utekelezaji gani kwa hayo waliyokubalina?
Bado sio sahihi makubaliano unayofanya na Raisi yakasainiwa na mtu mwingine ndio maana nasema Kikwete kawapiga changa la macho walichofanya CHADEMA ni kujidhalilisha hapo IKULU
kama kuna mtu anadhani mimi ni magamba check post zangu za nyuma
Ukweli lazima usimamiwe


Uandishi ni dhana ngumu, na naielewa hivyo. Nakumbuka tulivyopata taabu kufanya mazoezi ya tungo kweneye mafunzo ya uandishi kwenye nyanja za habari kana kwamba hatukupitia english composition au somo la fasihi. Kwa vyo vyote sikumaanisha wewe, ila kuna mtu sikusoma ni nani lakini comment yake ilikosa ladha ya mtu kuendelea kuisoma baada ya kumaliza mstari wa kwanza.

Pamoja na kwamba uandisi unatofautiana sana kati ya kanda, nchi na mabari, lakini mantiki ya kumfanya msomaji avutike kuendelea kuisoma ndio uwezo ambao mwandishi anakuwa amejenga mjengo wa kueleweka alichokiandika.

Nakumbuka profesa wangu Tom Englewood alivyotuambia chuoni, ukiweka ukingo wa kupokea kutoka kwa wanaokukosoa, kusahihisha au kukuelekeza utakosa kuyajua mengine ambayo ungeweza kuyapata kutokana na subira ya kuwa msikivu. Waafrika wengi tuna tatizo hilo, lakini wazungu wengi ukiwa unamweleza kitu hata kama anakijua utaona ametulia na kukusikiliza kwa makini kumbe lengo ni kujifunza jipya au kukusoma wewe.

Kwa vyo vyote hakuna mwenye kujua yote, na kila siku ni darasa katika maisha yetu. Hata makazini semina na mafunzo haviishi hadi siku utakapostaafu. Tufunguke akili ili tuyapate tunayoyetema, maana kuna vitamini na caroli nyingi kutoka vyakula tunavyovitema kwa ajili ya afya yetu.
 
Chadema aka CCM- C hatuwataki tena mnatuyumbisha wanachama mara hatumtambui Kikwete na serikali yake mara mnamtambua huo ni uroho wa madaraka Big up Slaa and Zito kwa kutokwenda IKULU. Mkiendelea hivyo tunawapiga chini tunaungana na Jembe letu Lowasa ambalo linakuja kwa kasi na kukubalika na Rai wa Bongo waliochoshwa na utawala wa JK na Maandamano ya CDM. Lowasa jipanga kamanda CDM wanaanguka na wewe utakuwa kimbilio la watanzania tuko pamoja nawe kwa niaba ya UVCCM na BAVICHA

Poti we rudi zako kaendelee kuchunga mbuzi hko bukombe na kishapu,msefenge kma kefenge . . Unatumia miguu kuchanganua hoja?
 
Ndio maana watu wanapigania kuingia Ikulu, yani jamaa wameenda kutembea tu wanachekelea namna hiyo.
 
Kabla ya sijachangia zaidi. Hawa wapiga picha za habari hizi,mimi sijawapenda. Si bora wangevaa nguo hata asili ya vitenge au khanga? Sijapenda Tshirt na jeans kupokelewa Ikulu! Bungeni tu,kuna code of what you wear. Hata hivyo nimefarijika na bashasha za Rais na kamati ya Chadema,wote wakiwa na nia moja, katiba mpya ya wananchi! Kwa manufaa ya Taifa!
utafikiri wapiga debe!
 
Hapa Chadema wamefungwa bao. Watakumbuka kusaini haya makubaliano kuwa ndipo walipoanza rasmi anguko lao kuelekea kuwa zilipendwa.

Wajiandae sasa kuungana na NCCR Mageuzi, TLP, UDP kama vyama vilivyowahi kuipeleka puta CCM kabla ya kujilipua vyenyewe.
 
Narudia tena; Muswada huu utasainiwa na Rais wetu kama ulivyo. Maboresho baadae kama yatakuwepo.
 
Kwa hiyo huyo Prof wako ndiye aliyekufundisha kereji? na kubeza watu especial hadharani?
kama kwenye wewe ni msomi wa hivyo hiyo ile comment yako inaipa jina gani? bado unaishi kwenye NEGATIVE FEEDBACK sio?
Dunia imeshatoka huko huyo Prof alikuwa ni msingi sasa ni wakati wa wewe ku integrate ulichofundisha na mazingira kama umewiwa kumsaidi mtu mzima nadhani unaelewa cha kufanya sio kama unalivyofanya
Natambua tunatofautiano malezi lakini heshima lazima iwepo miongoni mwetu.

Hope pia Prof wako alikuambia kuheshimu hoja za wenzako,
hatuko hapa kukupigia MAKOFI MATE!!!!!


Uandishi ni dhana ngumu, na naielewa hivyo. Nakumbuka tulivyopata taabu kufanya mazoezi ya tungo kweneye mafunzo ya uandishi kwenye nyanja za habari kana kwamba hatukupitia english composition au somo la fasihi. Kwa vyo vyote sikumaanisha wewe, ila kuna mtu sikusoma ni nani lakini comment yake ilikosa ladha ya mtu kuendelea kuisoma baada ya kumaliza mstari wa kwanza.

Pamoja na kwamba uandisi unatofautiana sana kati ya kanda, nchi na mabari, lakini mantiki ya kumfanya msomaji avutike kuendelea kuisoma ndio uwezo ambao mwandishi anakuwa amejenga mjengo wa kueleweka alichokiandika.

Nakumbuka profesa wangu Tom Englewood alivyotuambia chuoni, ukiweka ukingo wa kupokea kutoka kwa wanaokukosoa, kusahihisha au kukuelekeza utakosa kuyajua mengine ambayo ungeweza kuyapata kutokana na subira ya kuwa msikivu. Waafrika wengi tuna tatizo hilo, lakini wazungu wengi ukiwa unamweleza kitu hata kama anakijua utaona ametulia na kukusikiliza kwa makini kumbe lengo ni kujifunza jipya au kukusoma wewe.

Kwa vyo vyote hakuna mwenye kujua yote, na kila siku ni darasa katika maisha yetu. Hata makazini semina na mafunzo haviishi hadi siku utakapostaafu. Tufunguke akili ili tuyapate tunayoyetema, maana kuna vitamini na caroli nyingi kutoka vyakula tunavyovitema kwa ajili ya afya yetu.
 
Back
Top Bottom