Kuna watu wamesahau kwamba alipokuwa southern highland alikuwa anaitwa dick mulungu. Kwanini from hamim agustino to dick mulungu? Why from dick mulungu to philipo mulugo? Ni namna gani mtu anabadili majina mara tatu? Ni kawaida kwa mtu kurudia jina lake tukiwa sekondari tena kwa kuapa mahakamani. Hii hutokea kama alinunua jina la mtu. Hii nina uhakika nayo kwani kuna jamaa nilisoma naye o level alibadili jina na kurudia la kwake kutokana na lile alilotumia kukariri darasa la saba kuwa na mgogoro. Sasa huyu imetokea akiwa kazini, inakuwaje? Mara tatu?
ndugu zangu hivi kweli hatuna majukumu ya kufanya? mbona basi tunatumia vibaya kodi za wananchi wetu bila huruma, kwa kujadili watu kutwa nzima?
mijadala ya namna hii haipaswi kupewa nafasi jamani, mods please, hawa watu wakiruhusiwa kuendelea hivi, watasababisha uvunjifu wa amani yetu.
kuna kichefuchefu hapa anataka kutuambia kuwa kubadili jina ni jambo la kawaida, LA HASHA, si jambo la kawaida kwa kuwa jina ni identify, huwezi kuamua mtu unaitwa Hamimu kesho ukaamua utaitwa Philipo, na kama kuna sababu iliyokulazimisha kama kubadili dini ama uraia, kwa nini anakigugumizi? kuhusu ubovu wa elimu yake hatukuambiwa na sugu, alituonyesha mwenyewe, maana the higher the monkey climbs the more it shows its 'thing' kapanda mti akitoa presentation tumeona, mtatufumba macho? too late, tatizo ni pale tulipokubali walifungie gazeti letu la mwanahalisi, huu ukweli wote ungewekwa wazi, sasa mnategemea wakina msaki, kibanda na bagenda waandike hayo?
Na sasa Msaki kafaninikwa kumtoa Makunga oneni mwananchi lilivyogeuka kipeperushi, hivi habari ya maoni ya anachotaka Beatrice shelukindo inawezaje kuwa headline? Tido Mhando haoni hicho?
Mbona mmemsakama sana huyu bwana mulugo. Mwacheni afanye kazi yake ya naibu waziri. Kila siku, mulugo, mulugo, mulugo!!! khaa!! Hakuna mada nyingine? mwacheni mtoto wa watu aishi kwa raha zake.
1. tunataka tuonyeshwe kaburi la "Philip Mulugo".....inayedaiwa alikufa na ndio jina lake likachukuliwa na "Dick Mulugu"
2. tunataka kujua sababu za "Hamim Augustino" (proved kusoma Mbeya Day na Songea Boys) kubadili jina lake zaidi ya mara moja
Wana JF
....tumeshuhudia UKILAZA wa Naibu Waziri wetu wa Elimu kule South Africa....its a FACT!.....sasa na sisi tusije kuingia mtegoni wa kutokuwa na facts kuhusu elimu yake......tusije mpa nafasi ya kuonyesha wana JF ni wazandiki.......si mumemuona anavyowapiga "Mkwara" JF Mods........anasema hivi
eti hizi habari zitaleta uvunjifu wa amani!.......lol
Kumbe sensa ya watanzania siyo ya uhakika kama Mulugo ametumia majina mawili ina maana kama wapo wengi wa aina hiyo tanzania ni milioni 43 kamili ikiwaondoa wenye majina ya kujirudia rudia, wengine wanawafanya marehemu waendelee kuishi kwa staili hii, inabidi ashitakiwe kwa kosa la kusababisha uesabiwaji kutoa majibu yasiyo sahii.
Wewe na mimi ndio watu wa kuondoa upuuzi huu!!!!!!!!!!!!!
Kivip Mkuu funguka!
Chadema imesema mwaka huu ni wakuchukua hatua. Wamweke kwenye listi ya kuchukuliwa hatua