Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,029
- 1,254
- Thread starter
- #21
Hapana Aisee ,Hiyo haiwezekanVyote vinalipa lakini MD Ni zaidi kwasababu unaweza ukasoma MD then post graduate ukasoma pharmacy so ukawa Dr at the same time Mfamasia lakini Mfamasia hawezi kusoma post graduate ya MD. Vilevile Dr anaruhusiwa kufungua pharmacy lakini Mfamasia haruhusiwi kufungua hospital.