Trichuris Trichura
Member
- Sep 26, 2014
- 82
- 22
Weka Kama Unafahamu
Mimi mwenyewe ni mwajiriwa serikalini ni diploma ya Medical Lab basic salary ni 610,000/= Tsh ndio mshahara nilioanza nao take home 497,100/=
sasa sikuelewi hizo data za mishahara ya mahouse girls umeipata wapi