zote ni nzuri ila inategemea ndoto ulizo nazoEti wakuu kati ya hizo Mbili ipi ni Nzuri kwa kuisoma..
Eti wakuu kati ya hizo Mbili ipi ni Nzuri kwa kuisoma..
pharmaceutical science kuja kupata shahada mlolongo mrefu na kwa level ya diploma huwezi kufungua pharmacy ila duka la dawa muhimu.ila ngazi ya maabara, ukiwa na diploma unaweza kujiajiri hata ukiishia hapo.binafsi nashauri maabara na baada ya kumaliza uwe tayari hata kujitolea bila malipo kwanza upate uzoefu.kisha uwe na mtazamo wa kujiajiri(tnink big - unaweza kuanzisha diagnostistic centre yako) wataalamu wengine ukawaajiri mfamasia nk kwani mgonjwa anaanza kupatikana kwenye vipimo.Diploma! Then baadae Degree. Kwa hatua za Mwanzo kuajiriwa ndo mategemeo. Ipi nzuri mkuu
pharmaceutical science kuja kupata shahada mlolongo mrefu na kwa level ya diploma huwezi kufungua pharmacy ila duka la dawa muhimu.ila ngazi ya maabara, ukiwa na diploma unaweza kujiajiri hata ukiishia hapo.binafsi nashauri maabara na baada ya kumaliza uwe tayari hata kujitolea bila malipo kwanza upate uzoefu.kisha uwe na mtazamo wa kujiajiri(tnink big - unaweza kuanzisha diagnostistic centre yako) wataalamu wengine ukawaajiri mfamasia nk kwani mgonjwa anaanza kupatikana kwenye vipimo.
lab mshahara ni 250,000/= kwa diploma na degree haizidi 450,000/=
kwa mfumo uliyopo nchini kwasasa, pharm tech anapata ajira ni kweli kabisa na atalipwa mshahara tajwa hapo juu, ila hayuko eligible kuanzisha pharmacy ila anaweza kuajiriwa tu na mwenye shahada ya pharmacy kwenye pharmacy.kwa sheria ya sasa anaweza tu kuruhusiwa kuanzisha duka la dawa muhimu.Pharmacy ni nzuri sanaaa, asikudanganye Mtu. Hakuna pharm tech analipwa chino ya tano, nusu ya pharm tech wanafanya kazi zAidi ya sehemu moja.
Ni rahisi kujiajiri maana hawa Jamaa wanafundishwa somo la ujasiliamali . Kama huja apply mpaka Dakika hii sahauuuu kupata chance Mwakahuu.
lab mshahara ni 250,000/= kwa diploma na degree haizidi 450,000/=
Mkuu usipotoshe uma...bachelor salary ya 450,000/=???
Pharmacy ni nzuri sanaaa, asikudanganye Mtu. Hakuna pharm tech analipwa chino ya tano, nusu ya pharm tech wanafanya kazi zAidi ya sehemu moja.
Ni rahisi kujiajiri maana hawa Jamaa wanafundishwa somo la ujasiliamali . Kama huja apply mpaka Dakika hii sahauuuu kupata chance Mwakahuu.
Eti wakuu kati ya hizo Mbili ipi ni Nzuri kwa kuisoma..
Weka Kama Unafahamu
Kama internalship mtu analipwa 710,000/= na ni asilimia 80% ya mshahara kamili unadhani 100% itakua laki nne!??
Alaf saivi mfumo umebadilishwa i mean MD, BMLS, BPHRM, zote zitasomwa kwa muda wa miaka 5 na salary scale yao itakua sawa... Na hamna medical personel kuanzia level ya diploma anaechukua chini ya laki tano..labda awe ana makato ya mikopo ya benki mkuu..
umesomeka mkuu
Kama internalship mtu analipwa 710,000/= na ni asilimia 80% ya mshahara kamili unadhani 100% itakua laki nne!??
Alaf saivi mfumo umebadilishwa i mean MD, BMLS, BPHRM, zote zitasomwa kwa muda wa miaka 5 na salary scale yao itakua sawa... Na hamna medical personel kuanzia level ya diploma anaechukua chini ya laki tano..labda awe ana makato ya mikopo ya benki mkuu..