Petrol TZS 1,882 na Diesel TZS 1,987: Wafanyabiashara waigomea Serikali?

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Nipo kariakoo big bon baada ya kuangaika kwenye folleni muda mrefu, baada ya kufika nimeambiwa nayo yameisha. Aliyekuwa mkombozi BIG Bon naye aungana na wafanyabiashara, naambiwa yapo lakini mkuu katukataza kweli serikali imefika kubaya.Magari mengi yamezima njiani, tunaomba trafiki wasaidie angalau tuyaweke pembeni.
 
Tulishatoa onyo na wala serikali yetu haikuzingatia na tukafanana na watu tunaopiga kele chini ya maji; subiri uje uwaone wanavyokurupuka mbele ya vyombo vya habari kama wako uchi vile no foresight kabisa bure kabisa!!
 
A reactionary government with constant fire-fighting approaches on almost on everything; sasa kwa hapo ndio sasa ajira ndoto mwakani, bidhaa bei juu, nauli kutoshikika, kodi kupanda maradufu kwenye bajeti ya mwaka mpya wa fedha ...

Jamana CCM hebu tupisheni, mmeshindwa kusimamia uchumi wetu kwa uadilifu. Kaeni pembeni muone kazi tutakavyouchapa mpaka mshangae; inauma sana hivi kila kitu kwenda kama kwenye kilabu cha pombe hivi!!
 
Unapokula krismasi na sikukuu ya mwaka mpya ni bora ukafanye kwa busara zaidi wenzangu; mwakani uchumi kuwa shagalabagala zaidi, mfumuko wa bei kujiunganisha na kupanda bei ya mafuta soko la kimataifa na pengine kufikia 25% hadi 30% huko kabla ya June 2012.

Masikini tutalia sana na kusaga meno; jama UFISADI ni unyama na unyama wake katika uchumi ndio kama hivi - ujambazi si kipindi kupiga hodi kwa ukali zaidi.
 
Nchi hii sasa imekuwa yatima,Mafuta yamekua ya shida hata Somalia kuna nafuu ingawa kuna vita,POOR MANAGEMENT NI TATIZO TANZANIA
 
Sasa Jamani Shida ni nini? Kwani Hii hali inaonyesha inatisha Kabisa!! Hii hali huwa always inajitokeza mwishoni mwa wiki!! Sasa Naona Hali inazidi kuwa tete!! Sasa Hawa ndugu zangu wa Usalama wa Taifa wameshindwa Hata Kutusaidia Khali isiwe Mbaya kama Ilivyo sasa?
 
Sikutegemea mchange yakipumbavu kutoka kwa pumbavu kama hii. Hivi serikali kupambana na wauza mafuta ili sisi raia tupate nafuu inakuwa kero kwenu? badala muungane na serikali na mtoe ushauri wenye maana nyinyi mnapinga? Je mwataka kulipa mafuta bei ya juu? Ama kweli nyinyi ni wapumbavu.
 
Nipo kariakoo big bon baada ya kuangaika kwenye folleni muda mrefu, baada ya kufika nimeambiwa nayo yameisha. Aliyekuwa mkombozi BIG Bon naye aungana na wafanyabiashara, naambiwa yapo lakini mkuu katukataza kweli serikali imefika kubaya.Magari mengi yamezima njiani, tunaomba trafiki wasaidie angalau tuyaweke pembeni.
kwa kashafa unayotoa natamani hata ungelala hapohapo na ubwege wako. sisi tunalia bei ya mafuta ipungue wewe unakejeli. Hivi wewe ni chizi?
 
yaani Dar Balaa tupu, umeme hakuna, jua kali, mafuta ndio usiseme, kariakoo shimoni, maduka ya chini hali mbaya, mafundi generator wamekata tamaa kwa kulaumiwa na wenye generator maana nchina kuwasha full time ni siku 90 baada ya hapo unanunua nyingine, hali ndiyo hiyo matunda yanaoza fridge zinanuka vibaya kwa kukosa service, ndo tanzania yetu yenye kasi zaidi, na ari zaidi mbele break ya Umeme, Maji na Mafuta, bado uchafu na mabomba kuziba
 
Unapokula krismasi na sikukuu ya mwaka mpya ni bora ukafanye kwa busara zaidi wenzangu; mwakani uchumi kuwa shagalabagala zaidi, mfumuko wa bei kujiunganisha na kupanda bei ya mafuta soko la kimataifa na pengine kufikia 25% hadi 30% huko kabla ya June 2012.

Masikini tutalia sana na kusaga meno; jama UFISADI ni unyama na unyama wake katika uchumi ndio kama hivi - ujambazi si kipindi kupiga hodi kwa ukali zaidi.
Pumba.
 
serikali ya kishkaji.......yani ya kiswahili zaidi.

haha sasa dogo c mwekezaji huko
kwenye petroleum?
Unadhani mdingi
atachukua hatua yeyote hamna kitu
ndo kwanza atakwea
pipa aende kurefresh
mind pahali mkimalizana anarudi
chezea nji hii weye?
 
kwa kashafa unayotoa natamani hata ungelala hapohapo na ubwege wako. sisi tunalia bei ya mafuta ipungue wewe unakejeli. Hivi wewe ni chizi?

kweli wewe unaitaji kupimwa akili, hapo ni kashifa gani? mimi naumia kwa kushindwa kndesha gari mpaka kazini kwangu wewe wasema nakejeli!!, lakini nilijua tu nyie si mna bia na LAKE OIL YA Rz.... acha tu mtukaange lakini ipo siku utany...a debe na kunyanganywa mali zote
 
Back
Top Bottom