Petition: Wito wa kusitisha tozo/kodi ya laini ya simu kila mwezi kufuatia mabadiliko ya sheria

Nilikuwa ninafikiria kugoma kutumia simu yangu japo kwa mwezi mmoja lakini nimegundua I just can't do it. The bloody gadget is so necessary it's like a part of my body!
dude get people to sign the thing we are a solution now, waziri atashangaa kwamba siku hizi mambo .COM
 
unakumbuka kodi ya kichwa ilivyotesa watu vijijini wakati wa mkoloni? hata wakoloni walisema ni kodi ya maendeleo.
poa hapa sio KODI, point hapa ni kodi ya lini ya simu kila mwezi, tunachopinga ni kodi ya laini ya simu na sio kodi hivyo kaa sawa kwanza kwenye mjadala wako, hayo maendeleo unayoongelea yanasukumwa kwa kasi kama kuna miundombinu na moja ya miundombinu ni minara ya simu etc etc, sasa ukizuia watu kuwasiliana kwa urahisi maelendelo yanakuja vipi hapo?

Iwe ya simu, ya kichwa, ya TV, ya miguu, mradi imepangwa na inaitwa kodi basi ni lazima iheshimiwe na ilipwe.

Sioni tatizo hapo.

Kwanza Tanzania bado walipa kodi ni wachache sana na mwigo wa kodi unawakandamiza wale wale tu, wafanyakazi na wafanya biashara wachache.

Tena katika hiyo kodi ya simu napendekeza ingeongezewa kodi ya starehe "entertainment tax" kwani wengine wamefanya hizo simu kuwa ni starehe. Mwenye simu zaidi ya moja alipe x 10 zaidi, maana ana uwezo huo.
 
sasa sisi wenye hela ndio tuheshimu tena? wewe vipi bana wananchi wana haki ya kuchallenge kodi, hizo kodi za ajabu ambazo azipo kwenye maarifa ya wachumi bora ni naza kupiga vita, wewe yawezakana ni mwizi wa hizo kodi zikikusanywa hivyo si ajabu udenda unakutoka hapo,
Iwe ya simu, ya kichwa, ya TV, ya miguu, mradi imepangwa na inaitwa kodi basi ni lazima iheshimiwe na ilipwe.

Sioni tatizo hapo.

Kwanza Tanzania bado walipa kodi ni wachache sana na mwigo wa kodi unawakandamiza wale wale tu, wafanyakazi na wafanya biashara wachache.

Tena katika hiyo kodi ya simu napendekeza ingeongezewa kodi ya starehe "entertainment tax" kwani wengine wamefanya hizo simu kuwa ni starehe. Mwenye simu zaidi ya moja alipe x 10 zaidi, maana ana uwezo huo.
 
Please follow the link below and if it touches you please sign the petition against the SimCard Tax which was just imposed by the govt. Tanzania has approx 20M mobile phone users and out of those around 8M use less that Tsh 1000 per month, TUJIFIKIRIE NI WANGAPI TUTAUMIZWA NA HII KODI. Once we get enough signatures this may be taken further and may lead to this tax being removed.


Here is the link
WITO WA KUSITISHA TOZO/KODI YA LAINI YA SIMU KILA MWEZI KUFUATIA MABADILIKO YA SHERIA YA KODI 2013
 
Issue sio kodi bali kiasi cha kodi na walipaji wake.
Hivi unajua kuna watu mamiloni hawana uwezo wa kulipa hiyo elfu moja kwa mwezi?
Je itakuwaje siku watu wakaacha/wakashindwa kulipa hiyo kodi?
Nadhani sio sahihi hata kidogo watu wote katika nchi hii, tajiri kwa masikini kulipa kodi kiasi sawa maana unawaongezea umaskini wale walio masikini zaidi lakini pia inaleta misuguano ktk jamii.
Kodi kwenye laini za simu ingekuwa kwa asilimia ya matumizi ya laini husika ( kulingana na fedha zilizowekwa kwenye laini kwa mwezi/ mwaka).

Wewe umeanza kuongea mambo ya maana sasa. lakini hauwezi kumtambua mwenye kipato kikubwa na mwenye kipato kidogo kwa kutumia simu sababu kwanza hii sio kodi ya mapato.
 
nani kasema hakuna kodi nayolipa? unawezaje kuishi bila kulipa wakati kila kitu kuna VAT , suala hapa ni hiyo kodi ya laini ya siku kila mwezi ili wakubwa wanywe chai ya maziwa kila asubuhi, mbona awabani matumizi ya serikali kila siku wako kwenye semina na vikao vya posho kwa kazi wanazolipwa mshahara, kama unataka maendeleo piga vita ufisadi na sio kushangia ukupe wa wizara ya fedha

Kuna namna ya kuwashughulikia viongozi wa serikali wanaotumbua kodi zetu bila mpango lakini sio kwa kuacha kulipa kodi kiongozi. Hata Mwalimu alisema kitu juu ya serikali isiyokusanya kodi.
 
Na babu yako kule kijijini anaitwa? maana very soon utamsahu kwa kukosa mawasiliano, maana wazee wa 75yrs huko vijiji kitapo cha sh 1000 sio mchezo

Hii nchi tutaijenga wote, wazee kwa vijana, wote tuna nafasi sawa, kila mtu atimize wajibu wake.
 
Wewe unatakiwa ushitakiwe kwa kosa la uhaini. kuendesha harakati za kupinga kodi ni kutaka kuidhoofisha serikali iliyopo madarakani hata ishindwe kutawala, ni sawa kabisa na mpango wa kuipindua.
 
Wewe unatakiwa ushitakiwe kwa kosa la uhaini. kuendesha harakati za kupinga kodi ni kutaka kuidhoofisha serikali iliyopo madarakani hata ishindwe kutawala, ni sawa kabisa na mpango wa kuipindua.

who are by the way? Unataka watu wawe wa ndiyo 2 kama enzi za mwalimu? Umeshapitwa na wakati,siku hz ni enzi za digijitali kama k2 hakpo sawa lazma tuhoji
 
Wewe ni lazima ungepinga tu...Tunajua simu umepewa na salio unaongezewa kila siku na jamaa zako wa Lumumba!

@ sangarara wewe lazima useme ziongezwe coz we ni kama mtoto wa mbwa maana hana adabu anampanda hata mama yake,we kila kitu wasupport hata ush--ga uatakubali tu
 
sasa sisi wenye hela ndio tuheshimu tena? wewe vipi bana wananchi wana haki ya kuchallenge kodi, hizo kodi za ajabu ambazo azipo kwenye maarifa ya wachumi bora ni naza kupiga vita, wewe yawezakana ni mwizi wa hizo kodi zikikusanywa hivyo si ajabu udenda unakutoka hapo,

we zomba,the issue hiyo imepitishwaje,maana sio tunaofustilia hatukusikia wakijadili,matumi ya mapato hayo,ukizingatia ni pesa mingi,lakini haipo kwenye mpango wa wachumi maana hata waziri mwenye dhamana (makamba) akiulizwa anarukaruka tu kama bisi kwenye kikaango
 
Hii kodi ipigiwe kelele kwa nguvu zote, ni wizi na uonevu wa hali ya juu unaofanywa na serikali ya kikwete kwa wananchi wake. kama bunge halikujadili wala kupitisha hii kodi, kwa nini serikali ianze kuitoza. kodi yoyote itaanza kukusanywa pale inapojadiliwa na kupitishwa na bunge, vinginevyo hiyo kodi siyo halali.

Najua kuna watu watasema baada ya kusomwa kwa bajeti bunge lilijadili na kupisha sharia husika lakini ni vyema itambulike kuwa msingi wa sharia hiyo ni bajeti ya serikali iliyosomwa bungeni ambapo waziri mwenyewe alikiri kuondolewa kwa kipengele hicho. hivyo jambo hilo liliingizwa kinyemela hivyo waziri wa fedha na maofisa wake wametenda uovu na dhuluma kwa watanzania. kwa jambo mlilotenda ni halali kabisa kwa umma wa Watanzania kumlaani waziri wa fedha na timu yake iliyoaanda uovu huo.

Kama kipengele hiki kiliondolewa kwenye bajeti maana yake mapato yatokanayo na kodi hii hayakupangiwa matumizi.
Je makusanyo hayo yataenda wapi?
Je kwanini wabunge walipitisha sheria ya kodi ambayo haiendi sawa na bajeti?
Tuwalaumu wabunge lakini nasisi tujilaumu sana kwa ujuha wetu wa kuchagua wabunge wa hivyo.
Next time tuwe makini na tugangamale
 
Mwaka huu serikali imetengeneza hili tatizo ili mwaka kesho iliondoe halafu muwapigie makofi eti serikali sikivu!
Ndiyo maana wakati ule akiwa Mrema wa kweli alisema, kabla ya kumshukuru mtu kwa kuondoa tatizo ni vyema tukajua nani alisababisha liwepo?
 
Mwaka huu serikali imetengeneza hili tatizo ili mwaka kesho iliondoe halafu muwapigie makofi eti serikali sikivu!
Ndiyo maana wakati ule akiwa Mrema wa kweli alisema, kabla ya kumshukuru mtu kwa kuondoa tatizo ni vyema tukajua nani alisababisha liwepo?

sasa tunawafunza kwamba siasa na mambo ya uchumi hapana, watafuta kabla ya mwakani bila kupenda hiyo petition hiko on fire, na wakijifanya wabishi tutaitawanya dunia nzima pata itakapo pata saini za kutosha
 
Hatusaini na tunataka iongezwe, watu mnatongozana tu kwa simu halafu hamtaki kulipia? tena iongezwe kodi ya anasa kwa kila mwenye simu zaidi ya moja.
 
Back
Top Bottom