wana jaimii naombeni mwongozo hivi pete ya uchumba ana vishwa mwanaume na mwanamke au mwanamke tu maana rafiki yangu mmoja anataka kuvishwa na demuwake je hii ni sahihi nawasilisha
wana jaimii naombeni mwongozo hivi pete ya uchumba ana vishwa mwanaume na mwanamke au mwanamke tu maana rafiki yangu mmoja anataka kuvishwa na demuwake je hii ni sahihi nawasilisha[
Kama yeye nfo kachumbiwa na anaolewa. Ruksa kuvaa
Hii mpya, sijaiona bado.. nani anamchumbia nani, labda jamaa yako anachumbiwa watch out anakwenda kuolewa huyo. :focus:
He?? Kweli dunia inaelekea ukingoni duuuhh mwanaume kuvishwa pete ya uchumba?? Mungu tusaidie maana hali ni mbaya humu duniani.
Sasa inakuwa na vitu vya almasi au tanzanite?? Au ndo ikoje???
Mtume yarabi tobaaa aaahhh