Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
Mi nadhani imefika wakati sasa na mabinti kuwavisha watarajiwa wao pete za uchumba kama wao wavishwavyo. Hii pia itasaidia kumwepusha mchumba mume na mabinti. Tumeona kichen pati za kiume, mwanaume kuvishwa pete ya uchumba itashindikana? Em wadada mtoe mawazo katika hili maana linawahusu direct. Mi nitafurahi nikivishwa na atakayekuwa mtarajiwa wangu