Njoo hapa bar kwanza tuweke heshima, baada ya raundi nne mawazo tuyapata tu:loco:
On a serious note: Kwa nini usijaribu kilimo (horticulture)?
nikopeshe 20 hapo
Tatizo hapa hakuna option ya "dislike", ningeibofya.
Huo mkopa au msala/kitanzi? Why? Tshs 80m x 5yrs x21% = ~Tshs 130m. Kwa maana nyingine lazima biashara utakayoifanya ikupe faida ya Tshs 2.5m kwa mwezi, kwa sababu marejesho tu kwa mwezi ~ Tshs 2.2m . Biashara gani itakuwa na faida ya Tshs 2.5m kwa mwezi huko Songea Mkuu?Nina tsh 80m, niko Songea. Nianzishe mradi(miradi) gani ili niuage umasikini? Nisameheni kwa kukopa kabla ya kuwa na wazo kwanza. Ninatakiwa niwe nimezirudisha benki baada ya miaka 15 kuanzia sasa na 21%. wazo, tafadhali.
dislike ndiyo kama hii ----- :A S thumbs_down:Tatizo hapa hakuna option ya "dislike", ningeibofya.
Mkuu Moony, mimi nipo kwenye NGO na inashughulika na masuala ya vijana, Naomba uniunganishe na hao watu wa NGO wanaoshughulika na kilimo. Tunadhani kilimo kinaweza saidia vijana kwenye ajira. Tupo Darwakati unashangaashangaa, weka 80% kwenye fixed deposit zitazaa badala ya kupotea.
Kilimo ndo biashara nzuri la sivyo nenda china, au anzisha duka la pembejeo za kilimo
Usiogope kununua mbolea ndiyo dawa pekee ya kufufua ardhi.
Ungekuwa hapa dsm ningekupa darasa ama kukupeleka kwa wataalamu wa ngo za kilimo.
Nina tsh 80m, niko Songea. Nianzishe mradi(miradi) gani ili niuage umasikini? Nisameheni kwa kukopa kabla ya kuwa na wazo kwanza. Ninatakiwa niwe nimezirudisha benki baada ya miaka 15 kuanzia sasa na 21%. wazo, tafadhali.
Nina tsh 80m, niko Songea. Nianzishe mradi(miradi) gani ili niuage umasikini? Nisameheni kwa kukopa kabla ya kuwa na wazo kwanza. Ninatakiwa niwe nimezirudisha benki baada ya miaka 15 kuanzia sasa na 21%. wazo, tafadhali.
Nina tsh 80m, niko Songea. Nianzishe mradi(miradi) gani ili niuage umasikini? Nisameheni kwa kukopa kabla ya kuwa na wazo kwanza. Ninatakiwa niwe nimezirudisha benki baada ya miaka 15 kuanzia sasa na 21%. wazo, tafadhali.
dislike ndiyo kama hii ----- :A S thumbs_down: