Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Hilo Ndo tatizo kubwa sana kwa sisi watanzania, Ila mimi sitaki kuamini kwamba ulikopa Benk make benki ni lazima uwe na Mpango Kazi au Bsiness planing na some time uwe na Biashara kabisa na uwe na kila kitu kinacho takiwa kwa ajili ya Biashara.
Na kama kweli umekopa bila kujua utafanya nini basi inakula kwako mkuu, kwa sababu kabla hujakopa ni lazima ujirizishe kwamba Project unayo enda kuifanya inalipa, na kumbuka biashara si lele mama kuna kuyumba hata ndani ya miaka 3,
So mkuu unahitaji ushauri wa hali ya juu kwa huo mtaji wako
Yote yanawezekana KOMANDOO, anaweza akawa sehemu ya familia za watu kama kina Mhando wa Tanesco anakuja na mtaji wa 10m baada ya miezi minne anapewa tenda ya 800 milion
Last edited by a moderator: