Asante rev kwa kumjibu vema; kwanini kikwete anakunja ngumi?
rev masanilo naomba nikuachie hii kazi naona unaimudu kwel kwel!.....
mimi nawahi valuu za pakiti pande zile zile za rhombo
hahahahahaha hehehehehe
Aongee taratibu kwani yeye mgonjwa?
Kwanini asiongee taratibu? NGUMI YA NINI???
He He He! picha hii imenikumbusha wimbo mmoja wa Bongoflava niliusikia;
Hatari! hizi ndizo zile style za mwalimu mkuu wa shule ya msingi enzi zileee!
Enzi zile za ukoloni walikuwa wana slogan "Kidumu chama cha MAFISADI!" halafu watu walijibu "KIDUMU" hapa ilinyanyuliwa NGUMI, hii kumbe ilikuwa ni ishara ya vita dhidi ya watanzania wanyonge na masikini. We uliyeleta hii tafsiri ya ngumi, umetufumbua macho! Kumbe ndio walivyokuwa wakitufanyia!:smile-big: