Penzi la kwanza na vituko vyake...Lilinitoa jasho

Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.

duuuuh............!!!
 
Ulipona heart attack

sikupata hiyo!

Nillisumbuka sana nikawa na shinda nyumbani wakati haikuwa kawaida yangu na demu alikuwa jirani yetu.

Nakumbuka nilifumwa na baba yake huyo demu tukiwa wawili tu akaenda kusema nyumbani nikapewa onyo lakini sikusikia.
 
Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.

Eeeeh mi hapo tu ndo uliponiacha hoi, wanaume bhana mh
 
Nazungumzia kuingia kwenye penzi kwa mara ya kwanza halafu ukapenda kikwelikweli.


Ilinitokea tena nikiwa na miaka 18..nilimpenda sana huyu binti, sidhani kama kuna saa ilipita bila kumuwaza….kibaya zaidi mawazo kumhusu yeye yalikuwa negative tu: “Hivi sasa hivi yuko wapi? Kuna mtu yuko naye nini? mbona simuoni kama ilivyo kawaida.


Kiukweli hata yeye alinipenda sana…….na kuna wakati aliniambia naye huwaza hivyohivyo. Nakumbuka nilivyokuwa nakwenda nyumbani kwao mida ya usiku “kumuiba” tena kwa ujasiri mkubwa nikishiriana na rafiki yangu.
Inakuwa hivi: Mida ya mchana tunapanga mchezo mzima…Usiku mida ya saa 4 nazuka kwao nyuma ya nyumba..na kumtuma kijana mmoja mdogomdogo hivi (Sasa hivi kakua..humtumi tena).. halafu yeye anaingia kwao na binti na kumpiga konye.


Binti anajiandaa kabisa akisubiri Wazazi na ndugu walale (Yeye alikuwa analala chumba kimoja na dada yake ambaye tulikuwa tunashibana). Halafu mida ya saa tano anatoroka kupitia mlango wa uwani..Dada anaufunga!
Sijapata kupenda kama nilivyowahi kupenda wakati ule. Kuna siku nilimuona na jamaa mmoja hivi wakipiga story kwa muda mrefu sana….Nikajua nimeibiwa, wacha nimtandike na barua ndefu ya talaka huku moyo unadunda……..Nilivyompa nikabaki najilaumu “Hivi akikubali tuachane kweli nitahimili”?


Saa 8 saa 9 saa 10 hakuna dalili yeyote ya majibu ya kukubali kuvunja uhusianao au kuomba msamaha….Dah!! Si Roho wala mwili haukuwa wangu, Jasho linanitoka chakula hakipiti kila mtu anajua nimepata maradhi ya ghafla…Sitasahau……….Ilipofika saa 12 akamtuma mtu na barua ya kuomba msamaha……..Nilifurahi hakuna mfano…
Unajua nilimjibu vipi……..USIRUDIE TENA SIPENDI TABIA HII, MPENZI HALAFU UJE TUONANE.


Aaah penzi la kwanza kwenye utineja lione hivyo hivyo!!!!!!!!!!


Nawasilisha nanyi nipeni uzoefu wenu.
Aaah mimi nilikutana na gogo,yaani alikuwa hajiwezi kwa chochote,kanikatisha tamaa ya mapenzi mpaka sasa sihitaji tena mapenzi nahisi wote watakuwa magogo kama yule wa kwanza!!
 
hahahahaa! Mie nilikuwa muoga sana nahisi ni kwa7bu binti ndie ambaye alianzisha, Sasa ushakuwa mjanja?
 
Aaah mimi nilikutana na gogo,yaani alikuwa hajiwezi kwa chochote,kanikatisha tamaa ya mapenzi mpaka sasa sihitaji tena mapenzi nahisi wote watakuwa magogo kama yule wa kwanza!!

Kwani gogo ni mapenzi..khahaa
 
Back
Top Bottom