Peniela (Story ya kijasusi)

Jaman tushammaliza Latoya na Innocent wake tuletee Mathew na Penny basi
 
huu sasa mkuu ni uchawi aisee maana wahenge wanasema maneno huwa yanaumba sasa wasije wakaongea ongea mwishowe mtunzi akafanya maamuzi kama wawazayo wao.
Mkuu vipi tunaendelea lini?story ya before i die imeisha leta nyingine
 
Nikipigwa BAN halafu sijaimalizia hii story lege ntapendekeza na wewe upigwe BAN up to 2017!

joke.,:(:(
 
huu sasa mkuu ni uchawi aisee maana wahenge wanasema maneno huwa yanaumba sasa wasije wakaongea ongea mwishowe mtunzi akafanya maamuzi kama wawazayo wao.
Mkuu, sina uhakika na lengo la mwandishi, kama ni biashara bado anaweza kuifanya tu,

Kimsingi nlitamani aseme peniel itakuja lini na kama haitakuja tutaipataje, binafsi nmegundua kama vitu haviendi, plz mkuu mhimize mwandishi aje na suluhisho la hii kitu kwa afya zetu...
 
Back
Top Bottom