Ni mimiIvi latoya na peny nan mzuri
Naunga mkono hoja!, haiwezekani utamu Kama huu uupate kwa bando la Chuo Na kuwaneemesha wenye makampuni ya simu, halafu mwenzetu aishie kupata sifa Tu, wakati mkate wa siagi wanakula wengine kupitia kazi yake!.Ningekuwa mimi ni Lege nikifika karibu mwisho,ningewaacha hewani na kuwaelekeza kununua kitabu nitakacho kichapa
Kwan latoya na innocent imeisha si badoJaman tushammaliza Latoya na Innocent wake tuletee Mathew na Penny basi
Naunga mkono hoja!, haiwezekani utamu Kama huu uupate kwa bando la Chuo Na kuwaneemesha wenye makampuni ya simu, halafu mwenzetu aishie kupata sifa Tu, wakati mkate wa siagi wanakula wengine kupitia kazi yake!.
Mkuu vipi tunaendelea lini?story ya before i die imeisha leta nyinginehuu sasa mkuu ni uchawi aisee maana wahenge wanasema maneno huwa yanaumba sasa wasije wakaongea ongea mwishowe mtunzi akafanya maamuzi kama wawazayo wao.
huu sasa mkuu ni uchawi aisee maana wahenge wanasema maneno huwa yanaumba sasa wasije wakaongea ongea mwishowe mtunzi akafanya maamuzi kama wawazayo wao.
Mkuu, sina uhakika na lengo la mwandishi, kama ni biashara bado anaweza kuifanya tu,huu sasa mkuu ni uchawi aisee maana wahenge wanasema maneno huwa yanaumba sasa wasije wakaongea ongea mwishowe mtunzi akafanya maamuzi kama wawazayo wao.