HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Hii story duuu
poa mkuu asante mtuhumiwa niliisoma kwenye gazeti la kiu jamaa akesema atatoa kitabu lakini akatangulia kutoa kitabu cha mkimbizi shukurani sana kama hii atafanikisha kupata hicho kitabu cha mtuhumiwa0655428085 piga muuzaji wa vitabu vya hussen tuwa huyo ni wajikoni kbs ukikosa hapo huwezi pata sehem nyingine
Hahahahaha....zitaisha baada ya week2!!Hizo week mbili zinaisha lini?
Nimegundua Madhara makubwa ambayo yamesababishwa na *USALITI* wa Elibariki .
Inavyoonekana *Lege* kuna namna alikua amejiunganishia mawasiliano na akaweza kupata habari zote kwa Wakati . Sasa kuzimwa kwa simu na Saa ya Kigamba na yeye sasa haoni kinachoendelea!
Ile Story ya Danny hapa inasubiri sana. Yule mtunzi Wa Story ya Dany ni mvivu sana kufikirisha kichwa mpaka kaamua kumpa Huyo Dany uwezo Wa 'kimungu' ili kufanikiwa.
Hakuna kitu cha kujifunza kwenye ile story.
Ila huyu jamaa nampa saluti za mikono miwili.
ameimaliza juzi. Danny kawa Jini...Hivi hile story ya dani ilishia wapi nilipataga kwenye group za whatsapp sime ilishia njiani
mkuu huwezi pata vitabu vya willy gamba .vitabu vyake ni kama LUPIA na imani zake ukiwa nacho yakupasa ukihifadhi haswaa. ukiazimisha tuu hakirudi. story za willy gamba nyingi zipo soft copy