Huyu askofu kwanza arudishe pesa za escrow alizobeba kwenye mfuko wa sandarusiMwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA TUMUOMBE TUNDU LISSU
Mlishindwa 2015 licha ya kufanya usajili wa mkopo kutoka ccmTupige kura kwa kupanga mstari kwenye picha ya kiongozi husika halafu ndo utajua upepo ukoje!
Labda field ya Jukwaa la Siasa la JamiiforumsUpepo umebadilikaje? Mbona wananchi huku "field" wako na CHADEMA bega kwa bega? Waza tu CHADEMA haifanyi hata mkutano mmoja bado mnahemewa jee na yenyewe ikiwa majukwaani si ndiyo kitakuwa kiyama chenu?
Pengo ni kweli ana kiti Vatican, Pengo ni kweli anaweza kumpigia simu Papa, Pengo ni kweli alishiriki kumpigia kura Papa, Pengo ni kweli anajua mengi juu ya sheria za kanisa. Lakini alikuwa na haja gani ya keenda public kuwa maneno ya askofu mwenzake si msimamo wa kanisa. Hata Forum aliyotumia Niwemugizi wala haikuwa ya kanisa. Naye alitoa maoni yake kama Niwemugizi raia mwema na mwenye uchungu na nchi yetu.Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Kwani tuliomo humu JF hatuishi mitaani wanakoishi watanzania wengine bali tunaishi kwenye hizi "Keyboard" tunazozitumia kuandikia?Labda field ya Jukwaa la Siasa la Jamiiforums
Pengo ni kweli ana kiti Vatican, Pengo ni kweli anaweza kumpigia simu Papa, Pengo ni kweli alishiriki kumpigia kura Papa, Pengo ni kweli anajua mengi juu ya sheria za kanisa. Lakini alikuwa na haja gani ya keenda public kuwa maneno ya askofu mwenzake si msimamo wa kanisa. Hata Forum aliyotumia Niwemugizi wala haikuwa ya kanisa. Naye alitoa maoni yake kama Niwemugizi raia mwema na mwenye uchungu na nchi yetu.
Naigopa kusema kawa *mnafiki*Mwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA TUMUOMBE TUNDU LISSU
Tulia na huyo babu wenu huko sisi tunamsikiliza bosi wake ambaye ni Askofu Niwemugizi yeye atabakia kuwa kadinali mpiga kura za upapa tu full stopKijakazi kwako lkn kwa Wakatoliki Tanzania Kardinali ni Mtumishi Mungu, mimi Bibi yangu anashinda Kanisani, anasikiliza Redio Maria siyo tbc,itv au sijui star bali Redio Maria au Tumaini tu na kesho Kardinali akimwambia Wakatoliki tuipigie kura CCM hatouliza wala kujadiliana na mtu atafwata tu, na ninakuhakikishia Wakatoliki kama Bibi yangu wako idadi ya kutosha tu!
Kanisa ni Mali ya Papa, yeye ni binadamu kama wengine, sijui amekula Maharage ya wapi?Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Huwa mnasoma lkn au mnacoment tu.Hoja ni Pengo kupinga mabadilikoHuwa hampendi kuambiwa ukweli.....
Mbna hamkumkosoa GWAJIMA kipindi kile yupo upande wenu....
Askofu PENGO yupo sahihi maana kaona mtu sahihi
Kama ambavyo Mbowe anavyosifia mazuri ya MAGUFULI....mbna hausemi ana kiharibu chadema?
Kanisa ni Mali ya Papa, yeye ni binadamu kama wengine, sijui amekula Maharage ya wapi?
Tulia na huyo babu wenu huko sisi tunamsikiliza bosi wake ambaye ni Askofu Niwemugizi yeye atabakia kuwa kadinali mpiga kura za upapa tu full stop
Tunataka na nyinyi muelewe kuwa ukadinali sio cheo yeye anatumia ignorance ya Watanzania wengi kwenye dini kuonyesha kuwa yeye ndiye boss na msemaji wa wakatolikiSasa kama ni hivyo povu lote la nini? Kwa nini mnajaza kurasa hapa hata kumjadili? Kwa nini msiendelee tu na huyo Askofu wenu?