Pendekezo: Siku moja WanaJf wote tukutane mahali fulani, siku fulani, haya wote tukubaliane hapa

Fene

JF-Expert Member
May 4, 2021
2,447
3,420
Inakuwajeee

Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa

Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi

Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama

Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting

HAYA TUKUBALIANE HAPA.......

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Impossible! Unataka wengine waondoke na ngeu au wakiwa wamebebwa na defender ya police? Usichukulie poa maoni unayoyatoa ukiwa umejificha! Wengine wanaumia kiasi cha kutaka kukula kichwa! Kuna uadui wa kikabila, kidini, kisiasa! Hivi vitu havijawahi kumuacha mtu salama ukiingia kwenye anga zake!
 
Inakuwajeee

Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa

Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi

Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama

Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting

HAYA TUKUBALIANE HAPA.......

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ishakiwaga hivi kwa JF Dar Wing na Arusha Wing but nadhani kuna jambo halikuwa sawa mambo ika sizi!!!
 
Inakuwajeee

Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa

Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi

Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama

Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting

HAYA TUKUBALIANE HAPA.......

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wewe naona mtoto wa juzi bado unanuka maziwa
 
Kuwe na wazo linalojenga hoja kama vile spots day au charity au family day au thinkers na kadhalika.

Inawezekana
Inakuwajeee

Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa

Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi

Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama

Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting

HAYA TUKUBALIANE HAPA.......

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Impossible! Unataka wengine waondoke na ngeu au wakiwa wamebebwa na defender ya police? Usichukulie poa maoni unayoyatoa ukiwa umejificha! Wengine wanaumia kiasi cha kutaka kukula kichwa! Kuna uadui wa kikabila, kidini, kisiasa! Hivi vitu havijawahi kumuacha mtu salama ukiingia kwenye anga zake!
Kipekee kabisa kutoka katika sakafu ya moyo wangu, nakiri ningezichapa kavukavu na ndugu yangu Lucas mwashambwa

Watu ambao hawatokuwa na tatizo na yeyote ni raraa reree na Extrovert Hawa nadhani hata ukiwapiga kibao watakwambia enenda na amani ya Bwana mpendwa!
 
Inakuwajeee

Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa

Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi

Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama

Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting

HAYA TUKUBALIANE HAPA.......

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuzichapa ??
 
Back
Top Bottom