Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,447
- 3,420
Inakuwajeee
Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa
Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi
Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama
Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting
HAYA TUKUBALIANE HAPA.......
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kuna kitu nimekiona hapa
Nimeona sisi Magreat thinkers, matajiri wa Jf kuna haja siku moja tukutane mahali fulani, itakuwa mahali gani? Ndo tukubaliane hapa. Je kila mtu aje na mkoko wake? Ndo wote tukubaliane hapa
Lengo la kukutana huko ni nini hasa?
Ukweli ni kwamba kila mtu ana lake hapa, Kuna waliozimiana hapa hiyo ndio nafasi ya kuchanana face to face, kuna wale wenye bifu kali hapa basi siku hiyo ndio itakuwa ya kuuchapa mkono yani mkono kwelikweli baada ya siku hiyo no bifu tena,
Kuna wale wenye kupendelea kubadilishana mawazo na mtu fulani hiyo pia itakuwa nafasi
Itakuwa wapi mi sijui ndo tukubaliane hapa,
Ningependekeza iwe katika kumbi fulani hivi..
Lakini pia muhimu tusije chekana endapo ukaja muona member fulani kinyume na expectations uliyokuwa nazo
Lakini pia kama itakuwa dar wale wa mkoani washikwe mikono na wenyeji waongozwe vyema ili waje salama na warudi salama
Nb:Muhimu cha kuzingatia, members wasije ingiliana mfano members fulani wanazichapa waache tu kwani hapo ndipo katika kutimiza lengo la hiyo meeting
HAYA TUKUBALIANE HAPA.......
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app