Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,996
Inabidi ukapimwe akili kama unadhani Dr Slaa ni parliament material. yule ni presidential material.<br />
<br />
Najua lakini linaweza kuleta mawazo mapya!
Inabidi ukapimwe akili kama unadhani Dr Slaa ni parliament material. yule ni presidential material.<br />
<br />
Najua lakini linaweza kuleta mawazo mapya!
Labda kwanza ahame CUF ajiunge na Upinzani.Prof. Lipumba awe mgombea wa Upinzani Tabora.
Ni kweli lakini faida zipi umeziona zimeletwa na Wabunge wa CUF ? Nitajie hata moja tu.Tumeona faida yake kuingiza wabunge wengi upinzani.
Kwa nini ashinikizwe ? Unataka kuniambia huwa anashinikizwa kugombea Uraisi - mara nne zote !Kwa hivyo kwanini tusichukue nafasi ile kumshinikiza Mh Lipumba ili agombee ubunge Jimbo la Igunga.
Toka lini Tabora imetoa mbunge wa Upinzani pamoja na Pro. Lipumba kuwa Mwenyekiti wa CUF na mgombea Uraisi wa kudumu ?Ni mzaliwa wa Tabora
Ni mwenyekiti wa Chama cha CUF ili kuongeza nguvu za upinzani akisaidiana na kina Mbowe, Lissu na wengine
You must be kidding !Itaijenga Cuf kisiasa na kujenga Upinzani wenye nguvu bungeni
CDM haina nguvu sana kulinganisha na CUF kwa kuwa lipumba ndipo anapotoka.
CDM ilimshinikiza DK Slaa kuwa mgombea urais japo mwenyewe alikuwa hataki. Tumeona faida yake kuingiza wabunge wengi upinzani.
Kwa hivyo kwanini tusichukue nafasi ile kumshinikiza Mh Lipumba ili agombee ubunge Jimbo la Igunga:
- Ni mzaliwa wa Tabora
- Ni mwenyekiti wa Chama cha CUF ili kuongeza nguvu za upinzani akisaidiana na kina Mbowe, Lissu na wengine
- Itaijenga Cuf kisiasa na kujenga Upinzani wenye nguvu bungeni
- CDM haina nguvu sana kulinganisha na CUF kwa kuwa lipumba ndipo anapotoka.
Lipumba alikabidhi katiba yao CCM, sasa CDM aje kutafuta nini? CUF ni demu wa CCM inamaana wanataka amiliki wanamme wawili?Hao CUF ni lini wamekuwa tayari kuwasaidia CHADEMA? na ni lini wanashirikiana na CHADEMA? tusijisahau mambo wanayowafanyia CHADEMA Bungeni
"Ameshakubali kutogombea"!!! hiki ni kiswahili cha wapi? umeshindwa hata kusema Dr Slaa amekataa kugombea Igunga?duhu naona dk slaa tayari ashakubali kutogmbea. cdm iwaachie cuf yaani pro lipumba
"Ameshakubali kutogombea"!!! hiki ni kiswahili cha wapi? umeshindwa hata kusema Dr Slaa amekataa kugombea Igunga?