REBEL
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 166
- 64
Kutokana na uroho wa madaraka wa viongozi wa CCM ni bora chama hicho kikongwe kichague mgombea wake ambaye hana kashfa wala uroho wa madaraka.Pia ,kwasababu jina la Nyerere ni jina kubwa vichwani mwa watanzania kama ilivyo Ghandi India au Mandela,Martin Luther King itakuwa rahisi kuliuza jina la Madaraka Nyerere.
Baada ya kuona picha za habari za kimataifa Korea Kaskazini Kim Jong il nimeona wazo langu lina uzito na linaweza kukirudishia heshima CCM ya zamani.Maana chama cha majamba cha leo kimejaa watu matajiri,wabinafsi na wapenda ngono ambao jamii haiwataki.
Lakini tukileta mtu freash(Madaraka Nyerere) ambaye hana kashfa yoyote kutoka Butiama, mhandisi ambaye kaacha fahari zote na kukaa kijijini Butiama kutumikia watu wake.Nadhani anaweza kuleta changamoto ya ushindani wa urais wa 2015 dhidi ya mtu makini kama Dr.Wilbrood Slaa na nguvu ya Chadema.
Mwenye maoni kuhusu Madaraka Nyerere anakaribishwa.
Baada ya kuona picha za habari za kimataifa Korea Kaskazini Kim Jong il nimeona wazo langu lina uzito na linaweza kukirudishia heshima CCM ya zamani.Maana chama cha majamba cha leo kimejaa watu matajiri,wabinafsi na wapenda ngono ambao jamii haiwataki.
Lakini tukileta mtu freash(Madaraka Nyerere) ambaye hana kashfa yoyote kutoka Butiama, mhandisi ambaye kaacha fahari zote na kukaa kijijini Butiama kutumikia watu wake.Nadhani anaweza kuleta changamoto ya ushindani wa urais wa 2015 dhidi ya mtu makini kama Dr.Wilbrood Slaa na nguvu ya Chadema.
Mwenye maoni kuhusu Madaraka Nyerere anakaribishwa.