Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Binti mmoja alikwenda kwa mtaalamu wa masuala ya mapenzi na mazungumzo yao yalikuwa hivi:
Bintiokta,mimi nataka mume atakaye nipenda,atakaye nijali,nikiwa nakula awepo,asitoke ndani bali muda wote awepo kunibembeleza,atii kila nitakacho mwambia!
Dokta:Nakushauri uolewe na radio!
Bintiokta,mimi nataka mume atakaye nipenda,atakaye nijali,nikiwa nakula awepo,asitoke ndani bali muda wote awepo kunibembeleza,atii kila nitakacho mwambia!
Dokta:Nakushauri uolewe na radio!