Hakuna kigezo cha Mkoa. Ndio maana hata Regia kwenye orodha ni wa 11 akifuatiwa na Christowaja Mtinda (Singida) na Anna Komu (Dsm). Nafasi ya 26 yupo Sabrina Sungura (Kigoma) na 27 Rebeca Mngodo (Arusha) ambao tayari ni wabunge wakifuatiwa na Cecilia Pareso na Subira Waziri. Nadhani hawa wawili wa mwisho wapo likely kupata lakini kigezo cha familia, na upacha ni very far from realityKama si lazima atokee morogoro wanaweza kufuata series
japo ni mapema sana lakini kabla ya mawazo kufika mbali ingekuwa busara sana jf na cdm kumpa nafasi ya kamanda wetu rejia mtema mdogo wake hili iwe ni moja ya kumuezi dada yetu alafu hikumbukwe kwamba uyo pacha wake alikuwa katibu wake na kwa ufupi alikuwa kamanda kikosi cha nyuma na ni mpanga mashambulizi.
Amen
japo ni mapema sana lakini kabla ya mawazo kufika mbali ingekuwa busara sana jf na cdm kumpa nafasi ya kamanda wetu rejia mtema mdogo wake hili iwe ni moja ya kumuezi dada yetu alafu hikumbukwe kwamba uyo pacha wake alikuwa katibu wake na kwa ufupi alikuwa kamanda kikosi cha nyuma na ni mpanga mashambulizi.
Amen
japo ni mapema sana lakini kabla ya mawazo kufika mbali ingekuwa busara sana jf na cdm kumpa nafasi ya kamanda wetu rejia mtema mdogo wake hili iwe ni moja ya kumuezi dada yetu alafu hikumbukwe kwamba uyo pacha wake alikuwa katibu wake na kwa ufupi alikuwa kamanda kikosi cha nyuma na ni mpanga mashambulizi.
Amen
Kwa mtazamo huohuo unaonaje tukiomba Madaraka au Makongoro Nyerere awe rais ili kumuenzi hayati Baba wa Taifa? Au Katiba mpya iseme kabisa kuwa kiongozi akifa basi ndugu yake wa karibu au mtoto achukue nafasi yake ili kumuenzi marehemu?.