Kwa wale waliofanya interview PCCB leo ndo wamemaliza kuwahoji watu kwenye kumbukumbu yangu ndo kwanza kushuhudia interview nyenye watu wangi ukianzia na ile APTUTIDE TEST na nikishuhudia muda mrefu wa interview kwenye kwenye mtihani wa mahojiano maana ulianza trh 03/02/2014 mpaka leo trh 14/03/2012 takribanini mwezi mzima sasa............wadau kwa waliofanya jamaa mnawaonaje