kijana acha dharau.
Mali gani ya kawawa imeuzwa na serikali ikauchuna?
Kwahio unataka kutuaminisha kwamba wale wote walouhujumu nchi yetu na sasa wanafaidi matunda ya hujuma zao walifanya hivyo kihalali kwa sababu serikali haihusiki na maisha yao ya mafao?
richard fuatilia utapata jibu yule mama wa tbr alichokifanya, hata hivyo sozigwa hajahujumu nchi kwa lolote sijui wewe umelipata wapi hilo?
Watu wa aina hii waliolitumikia Taifa yangu enzi za Uhuru walipaswa kutazamwa kwa karibu. Mzee kaachwa aishi kilofa kana kwamba hakuna la maana alilofanyia Taifa hili. Utawala huu ndo umemuumiza kabisa huyu mzee baada ya kubeba mafaili yaliyojaa 'escrow' za Dk. JK. Mungu ni mwema. Tuongeze dua.
Kwa taarifa yako sozigwa alikua na kila kitu yani alikua sawa lakini kapeleka chini street.mzaramo yule alikua hatari enzi zake.
Enzi ya Uhuru alitumikia nini? Wacha uongo.
Hao ndiyo waliiuwa nchi kwa kutetea siasa iliyokuwa haina kichwa wala miguu iliyoipelkea hii nchi kuwa masikini wa mwisho duniani. Huyo si ndiyo alikuwa akitangaza mazungumzo baada ya habari baada ya azimio la Arusha? sasa alitumikia nini wakati wa Uhuru?
Hapa tuongee kupotea kwake, lakini tusilete uongo.
Ugonjwa huo alionao humfanya mtu kusahau kurudi nyumbani.atakuwa anatembea bila kujua aendako.poleni sana.
Umesimuliwa udaku nimeishi nao miaka yote sasa unaposema kila kitu sijui unamaanisha nn !! Huyu Moses ( aka bonge enzi za utotoni) tumesaga nae sana, mabasi na hata walipokuwa forodhani ilikuwa mara moja moja kuletwa na gari...tena asubuhi tu, mchana tunapiga mihogo kwa mzee Mselemo na kudandika ikarusi kwenda home..
Viatu ni bora tuu na hata watoto wa kawawa akina Amani walikuwa wanawacheka hawa..! Sasa wewe unataka kutuambia nn..? Sawa na haya majangili akina Rz1 ??
Namkumbuka mzee paul sozigwa ndiye aliyemshauri mwalimu astaafu ili apishe watu wengine wasimamie mageuzi ya kiuchumi kwani asingeweza kupingana na misimamo yake.
Baada ya maelezo ya sozigwa mawaziri wanafiki kama malechela walitegemea mwalimu angehamaki na kumfuta kazi mwalimu, badala yake mwalimu alikuwa mpole na kumsifu sozigwa kwa ushauri wake.
Baada ya kikao kile mwalimu alimwita Cleopa Msuya na kumpatia kazi ya kusimamia mageuzi kama alivyopendekezwa na tume ya paul bomani. Msuya akapewa kazi ya kuzungumza na world bank na IMF juu ya reforms za kiuchumi na hapo mzee akaanza safari ya kung'atuka.
Kwangu mie mzee sozingwa kupotea kama mlevi wa kimpumu sikubaliani hata kidogo, nakumbuka mara ya mwisho nilimwona akiwa na Majidd Mjengwa sweden alikokuwa kwa matibabu, chonde JK hakikisha huyu mzee anapewa heshima inayostahili.
Kwa taarifa yako sozigwa alikua na kila kitu yani alikua sawa lakini kapeleka chini street.mzaramo yule alikua hatari enzi zake.
Habari kutoka ndugu wa Mzee ni kuwa alipatikana jana.