ndugu zanguni.poleni sana mungu atamnusuru.Nishani wanakuja kupewa akina Anna Makinda, majina ya mitaa wanapewa akina Makamba na majina ya Shule wanakuja kupewa akina Mama Salma Kikwete..! Yaani nchi hii ukiamua kuyafikiria yanayoendelea unaweza wehuka wallah..!
Sasa kama hakujipanga jakaya inamuhusu nini?Mbona mwenzie mtei na msuya wapo safi? Hawa wazee walijisahau walidhani watakaa ikulu milele,Watu wa aina hii waliolitumikia Taifa yangu enzi za Uhuru walipaswa kutazamwa kwa karibu. Mzee kaachwa aishi kilofa kana kwamba hakuna la maana alilofanyia Taifa hili. Utawala huu ndo umemuumiza kabisa huyu mzee baada ya kubeba mafaili yaliyojaa 'escrow' za Dk. JK. Mungu ni mwema. Tuongeze dua.
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV saa 2 usiku huu kuwa Mzee Paul Sozigwa amepotea nyumbani kwake Magomeni. Huyu mzee alikuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM zama za Mwalimu JKN
Sasa kama hakujipanga jakaya inamuhusu nini?Mbona mwenzie mtei na msuya wapo safi? Hawa wazee walijisahau walidhani watakaa ikulu milele,
Unamjua vizuri Paulo Sozigwa au unaongea tu?Mkuu hii siyo kauli ya kuisema.. Huyu ni mmoja wa wazee ambao waliitumikia nchi kwa kufuata miiko ya uongozi.. Tulitegemea wazee kama hawa waishi kwa pensheni lakini kwa gharama ya maisha yalivyopanda malipo yao yamebaki kwa kiwango kile cha zamani..! Matokeo yake wanajikuta wanapata Tshs. 50,000 tu kwa mwezi..! Tunawalipa pesa hiyo kiduchu kwa ajili ya uzalendo wao..
Leo wewe unawadhihaki hawa na kuwacheka ujinga, lakini hawa ambao wanapora sasa na kuuza mali za watanzania wote kwa faida na maslahi yao binafsi ndo unawaona wajanja sio..!
Mkuu hii siyo kauli ya kuisema.. Huyu ni mmoja wa wazee ambao waliitumikia nchi kwa kufuata miiko ya uongozi.. Tulitegemea wazee kama hawa waishi kwa pensheni lakini kwa gharama ya maisha yalivyopanda malipo yao yamebaki kwa kiwango kile cha zamani..! Matokeo yake wanajikuta wanapata Tshs. 50,000 tu kwa mwezi..! Tunawalipa pesa hiyo kiduchu kwa ajili ya uzalendo wao..
Leo wewe unawadhihaki hawa na kuwacheka ujinga, lakini hawa ambao wanapora sasa na kuuza mali za watanzania wote kwa faida na maslahi yao binafsi ndo unawaona wajanja sio..!
Unamjua vizuri Paulo Sozigwa au unaongea tu?
Uzalendo upi? Wa kupeleka watu wakaliwe na simba?Nimesoma comment ya huyo kijana nimesikitika sana,nafikiri ni hawa vijana waliozaliwa 90s ambao ukiwauliza miziki ya zamani watakutajia ya Juma Nature! Hajui madhila yanayowafika hawa wazee kwa sababu ya uzalendo wao kwa nchi hii. Mungu asaidie mzee Sozigwa apatikane akiwa na afya njema.
Kwa taarifa yako sozigwa alikua na kila kitu yani alikua sawa lakini kapeleka chini street.mzaramo yule alikua hatari enzi zake.Mkuu hii siyo kauli ya kuisema.. Huyu ni mmoja wa wazee ambao waliitumikia nchi kwa kufuata miiko ya uongozi.. Tulitegemea wazee kama hawa waishi kwa pensheni lakini kwa gharama ya maisha yalivyopanda malipo yao yamebaki kwa kiwango kile cha zamani..! Matokeo yake wanajikuta wanapata Tshs. 50,000 tu kwa mwezi..! Tunawalipa pesa hiyo kiduchu kwa ajili ya uzalendo wao..
Leo wewe unawadhihaki hawa na kuwacheka ujinga, lakini hawa ambao wanapora sasa na kuuza mali za watanzania wote kwa faida na maslahi yao binafsi ndo unawaona wajanja sio..!
Uzalendo upi? Wa kupeleka watu wakaliwe na simba?
Kwa taarifa yako sozigwa alikua na kila kitu yani alikua sawa lakini kapeleka chini street.mzaramo yule alikua hatari enzi zake.
Watu wa aina hii waliolitumikia Taifa yangu enzi za Uhuru walipaswa kutazamwa kwa karibu. Mzee kaachwa aishi kilofa kana kwamba hakuna la maana alilofanyia Taifa hili. Utawala huu ndo umemuumiza kabisa huyu mzee baada ya kubeba mafaili yaliyojaa 'escrow' za Dk. JK. Mungu ni mwema. Tuongeze dua.
Msilaumu kila kitu yeye alikuwa anafanya kazi na analipwa mshahara KWA MUJIBU WA MKATABA WAKE NA MWAJIRI WAKE -SERIKALI YA TANZANIA ilikuwa ni juu yake kutayarisha maisha yake baada ya kustaafu na si zaidi ya hilo, serikali imfanyie nini tena wakati alishalipwa stahili zake zote KWA MUJIBU WA SHERIA YA CHEO CHAKE NA MKATABA WA AJIRA YAKE? je wako wangapi waliolitumikia taifa hili watatunzwa kwa gharama zipi?, ndiyo maana ikawepo sheria kuepuka upendeleo kinachotokea hapo ni matatizo ya uzee na pia matatizo ya ndoa serikali haihusiki na ndoa ya mtu wala familia yake kwa ujumla mbona vya kawawa vimeuzwa na serikali imeuchuna TU kwa sababu haihusiki. ILA NAAMINI ATAPATIKANA AKIWA MZIMA MKEWE HAWEZI HUSIKA KUMDHULU KWA SABABU TAYARI SIYO TISHIO KWENYE INTEREST ZAKE (NYUMBA) KUTOKANA NA AFYA YAKE ILA ANGEKUWA MZIMA TUNGEHOFU JUU YA HILO.