valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 870
Nimetapika niliposikia ni kada wa ccm.
kumbeee eh!
Nimetapika niliposikia ni kada wa ccm.
Nimejaribu kuwa ni kwa nini Tanzania kuna uongozi mbovu na Taifa linazidi kurudi nyuma kumbe sababu ni kuchagua viongozi toka kwaenye chama ambacho huwa mara zote kinatetea madudu ya Serikali, yani hakina ushauri wowote wa KIHARAKATI za kuleta maendeleo bali kuangalia maslahi binafsi. Hivi hawa jamaaa kwa nini walimchagu huyu kada wa CCM ambaye chama chake ndio kinawatwisha Vijana wa Kitanzania Gunia la misumari???Paul Makonda ambeye ni waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi wa MUCCOBS amewaragaraza marais zaidi ya sita kutoka katika vyuo vya elimu ya juu hapa tanzania katika kinyang'anyiro cha kugombea uraisi wa TAHLISO. Paulo makonda ambeye pia ni kada maakini wa ccm ameudhibitishia umma kwamba yeye ni kiongozi anayekubalikana anavuto kwa watanzania ndani ya ulingo wa siasa na nje pia. Nani kama MAKONDA???
wote ovyo cjui tahliso cjui mkubox cjui chuo gan. badala ya kuajadil mfumo wa kuleta pesa chuon na proces zake za kusain znavyo chelewesha. upuuz nyie watu mucobs mnaleta siasa.piga chni ovyo
kuna rafiki yangu mmmja kaniambbia makonda ndiye anayeweza kuvaa viatu vya nyerere.....
Hivi siku hizi KATIBA YA TAHILISO imebadilika? kwani kipindi tunaiazisha ilikuwa ni lazima uwe Rais wa Chuo Kimojawapo ndipo ugombee, vipi siku hizi mtu yeyote anatruhusiwa kugombea Tahiliso?Paul Makonda ambeye ni waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi wa MUCCOBS amewaragaraza marais zaidi ya sita kutoka katika vyuo vya elimu ya juu hapa tanzania katika kinyang'anyiro cha kugombea uraisi wa TAHLISO. Paulo makonda ambeye pia ni kada maakini wa ccm ameudhibitishia umma kwamba yeye ni kiongozi anayekubalikana anavuto kwa watanzania ndani ya ulingo wa siasa na nje pia. Nani kama MAKONDA???
Pelekesheni upumbavu wenu huko nyie vilaza wa muccobs.wenzenu huku tunawaza ni jinc gan ndugu zetu waliokosa mikopo watakavyo pata hyo mikopo,nyie ndo mnawaza upuuzi tu,ndo maana hata mkasoma vyuo vya ajabu ajabu eti.
We Jamaa Bado Mzima Hebu Jipigie Makofihuyu kijana inawezekana akafika mbali hata akawa rais au waziri wa tanzania hapo badae, hana skendo chefu za kifisadi
Vipi Roho yako bado ya Korosho?mmmmmmhhhhhh
mimi nilimkuta na nimemuacha hapo..... ni kiaz tuuuuuuuuu
mara ana-disco kisha anaanza upya!!!!!!!! mjingaaaaaaaaaa wa kutumia masaburiiiiii
Shame on You!TAHILISO, namshukuru Mungu sina connection tena na hii taasisi, i graduate a year back,
PAUL MAKONDA mwanzilishi wa CCJ leo amehamia tahiliso, duhhhhhhh yaan huyu jamaa ni kilaza cjapata ona halafu lazma ana watu wanamback coz hapo MUCCoBS jamaa kashadisco saaaaaaaaana tu halafu still anasoma I DON GET THE POINT HERE, kuna ile sheria ya kwamba mtu aki disco anatakiwa ake/ ajiulize for atleast muda kidogo mdo aapply tena chuo,
MASKINI TANZANIA NA CCM YENU, MWISHO WA YOTE HUYU JAMAA ANAKUJA KUA KIONGOZI WA SERIKALI SA TUTAKUA NA NCHI AU KICHAKA CHA VILAZA HAPA.
am out
HaterHuyu makonda ni mwanafunzi wa kudumu hapo Muccobs?! Mbona hamalizi?! Kilaza wa kudisco hata hiyo Tahliso pia ndio itazidi kushuka.
U said 6 years ago and now is happening [HASHTAG]#prediction[/HASHTAG]huyu kijana inawezekana akafika mbali hata akawa rais au waziri wa tanzania hapo badae, hana skendo chefu za kifisadi
Acheni mzaha na taifa hili.U said 6 years ago and now is happening [HASHTAG]#prediction[/HASHTAG]
Kwa maelezo ya mkuu hapo juu ni kwamba makonda ameandaliwa kuja kuwa kiongozi na kweli tunaona leoAcheni mzaha na taifa hili.
Lini Makonda aliwahi kupigiwa kura na wananchi akashinda?
Kweli uko serious unataka Makonda awe Rais wako?
Hivi vyeo vya kupewa kama fadhila baada ya kulamba viatu vya wanasiasa fulani na kufanikisha malengo yao visiwafanye mvimbe vichwa!
Aliandaliwa na nani? Kiongozi wa nini?Kwa maelezo ya mkuu hapo juu ni kwamba makonda ameandaliwa kuja kuwa kiongozi na kweli tunaona leo
Ndio kashakuwa kiongoz sasaTAHILISO, namshukuru Mungu sina connection tena na hii taasisi, i graduate a year back,
PAUL MAKONDA mwanzilishi wa CCJ leo amehamia tahiliso, duhhhhhhh yaan huyu jamaa ni kilaza cjapata ona halafu lazma ana watu wanamback coz hapo MUCCoBS jamaa kashadisco saaaaaaaaana tu halafu still anasoma I DON GET THE POINT HERE, kuna ile sheria ya kwamba mtu aki disco anatakiwa ake/ ajiulize for atleast muda kidogo mdo aapply tena chuo,
MASKINI TANZANIA NA CCM YENU, MWISHO WA YOTE HUYU JAMAA ANAKUJA KUA KIONGOZI WA SERIKALI SA TUTAKUA NA NCHI AU KICHAKA CHA VILAZA HAPA.
am out