simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Msaada wanauchumi. Pamoja na rasilimali nyingi nchini, pato la wastani Rwanda ambayo ni landlocked na isiyokuwa na utajiri mkubwa wa madini linazidi pato la wastani la mtanzania kwa $200 kwa mwaka. Nini chanzo cha mafanikio ya kiuchumi ya Kigali?