Jamani jamvini,
Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!
Asanteni kwa mawazo!
Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!
Asanteni kwa mawazo!