Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,394
- 33,047
Mmewasahau Rejao na Ritz. Huyu wa pili aliahidi kwamba CDM Arumeru Mashariki ikishinda anatembea kama alivyozaliwa mtaani. Tumtafute athibitishe
Naona ushindi wa Chadema unakuchanganya, ebu weka hiyo post yangu niliyosema hayo maneno kwenye uchaguzi wa Arumeru.