Pasco wa JF aje Hapa!

Mkuu,
Umeshaenda kuedit nini?...angalia usiadhirike ukubwani broda!

Hayo maneno yalikuwa kule Uzini, sasa Chadema mwenzako kwa furaha naona kaamua kunizingua...naona leo ni sherehe tu, mkuu Pasco kateleza jamani ndio ubinadamu sio kila kitu unachosema kinakuwa sahihi humu Jamvini tumeongea mengi lakini watu wa Arumeru Mashariki ndio wamechagua mbunge wao.
 
Adimit defeat is not a sportsman...Congratulate Chadema.
Ha ha haa eti itakuwa kama Uzini na Igunga.....tuliwaambia AR sio Igunga.

Pale mwanzo ulikomaa na wazee wa Kishili wamekusaidia nini, afadhali mwenzako Rejao hadi sasa bado anasubiri kura za vijijini hajaamini kama kura hazijatosha.
 
Hayo maneno yalikuwa kule Uzini, sasa Chadema mwenzako kwa furaha naona kaamua kunizingua...naona leo ni sherehe tu, mkuu Pasco kateleza jamani ndio ubinadamu sio kila kitu unachosema kinakuwa sahihi humu Jamvini tumeongea mengi lakini watu wa Arumeru Mashariki ndio wamechagua mbunge wao.

leo safi, respect mkuu, yale yalikuwa maneno yakishabiki tu, sawa na makocha wa simba na yanga wakijigamba kabla ya mechi kuanza sio?
 
Hayo maneno yalikuwa kule Uzini, sasa Chadema mwenzako kwa furaha naona kaamua kunizingua...naona leo ni sherehe tu, mkuu Pasco kateleza jamani ndio ubinadamu sio kila kitu unachosema kinakuwa sahihi humu Jamvini tumeongea mengi lakini watu wa Arumeru Mashariki ndio wamechagua mbunge wao.
Ritz leo uko mtulivu sana hadi raha aisee!
Mkuu, wewe ni mwanamageuzi, umeguka mwili mzima, bado MKIA tu!
Hamia Airtel mkuu!
 
Hayo maneno yalikuwa kule Uzini, sasa Chadema mwenzako kwa furaha naona kaamua kunizingua...naona leo ni sherehe tu, mkuu Pasco kateleza jamani ndio ubinadamu sio kila kitu unachosema kinakuwa sahihi humu Jamvini tumeongea mengi lakini watu wa Arumeru Mashariki ndio wamechagua mbunge wao.

Mkuu Ritz kumbe upo mzee mwenzangu,ulijificha wapi kiongozi?teh teh teh!kuhusu hiyo kauli ya kutembea uchi hata mimi nakutetea,ulisema uzini na wala si Arumeru!naona kamanda mwenzetu kateleza kidogo!
 
Jamani mbona tunapoteza nguvu kutafuta wafu kati ya walio hai?
Tusherehekee ushindi bwana.......................... hao tusubiri tu tukishatangaziwa mazishi tukasaidie kumwaga udongo.
Hongera sana wana Arumeru, Lizaboni, Kirumba na Kiwira. I am very proud of you all.
 
Pasco, yako wapi?
Hii si aibu kwa umri wako mzee mwenzangu?
Mtu kama wewe, kwa kazi yako hutakiwi kuwa mnafiki, maana unadeal na Media...umeishushia sana hadhi PPR

Pasco hajaishushia hadhi PPR bali ni PPR imejishushia hadhi kwa kuwa na mtu kama Pasco. Nafikiri ni harakati zake za kupata ajira Synovate.

Shame upon him
 
Back
Top Bottom