Namtaka Pasco, aka Pasco wa JF aje hapa!
My take:
Unafiki na kuwaramba miguu watawala si dawa!
Namtaka Pasco, aka Pasco wa JF aje hapa!
My take:
Unafiki na kuwaramba miguu watawala si dawa!
Wake ni zaidi ya unafiki PJ..Namtaka Pasco, aka Pasco wa JF aje hapa!
My take:
Unafiki na kuwaramba miguu watawala si dawa!
PJ jana kuna uzi kaanzisha Pasco yaani amejichanganya kama mchawi aliyekamatwa anawanga!!!!!
Pasco ni mtu hatari sana katika jamii ya JF hapaswi kuaminiwa na hana msimamo wa moja kwa moja.
Pasco anaudhi maana anaongea kwa uhakika sana vitu ambavyo havielewi, wala hana uhakika navyo!wakuu nimefatilia post zake jana usiku alikuwa wa kwanza kusema chadema wanashinda na nilishindwa kumwelewa''pasco kama alivyo waberoya free pipo hawafungamani kokote naona ni sawa tu
Na tena heri ya mchawi kuliko mnafiki kama Pasco!.. Hajui asimamie wapi!..PJ jana kuna uzi kaanzisha Pasco yaani amejichanganya kama mchawi aliyekamatwa anawanga!!!!!
Pasco ni mtu hatari sana katika jamii ya JF hapaswi kuaminiwa na hana msimamo wa moja kwa moja.
Yako mengi sana!Kuna jingine linaitwa Ribosome
Pasco, yako wapi?
Hii si aibu kwa umri wako mzee mwenzangu?
Mtu kama wewe, kwa kazi yako hutakiwi kuwa mnafiki, maana unadeal na Media...umeishushia sana hadhi PPR
Hehehe! Asprin ukimpata Rejao leo nidai elfu 1.Mi namtaka swahiba wangu Rejao.
Pasco we nenda naye RIP
Rejao ntakuwa naye Picnic.
Lengo: KUjadili Mustakabali wa Taifa letu ifikapo 2015.
Huyo ndiye Pasco Mayalla wa PPR
Nasikia ile mvua ya kutengeneza ya mkwe wa Sioi inamwaga kwa wingi Arusha hivi sasa.Pasco anaudhi maana anaongea kwa uhakika sana vitu ambavyo havielewi, wala hana uhakika navyo!
Naomba aje kuthibitisha au kufuta kauli yake kwamba Sioi alishinda tokea siku alipothibitishwa!...
Pascoo, too boring you hypocrite!
Atakuwa kajificha Chit Chat kule, ngoja nimfuate!Hehehe! Asprin ukimpata Rejao leo nidai elfu 1.