Paschal Mayala na ku-declare interest

Move ya katiba sasa hivi inaonekana kuwa kati ya CCM na CDM, Pascal hayuko huko, so nadhan yuko sahihi kuonesha hilo wazi kwamba hayuko katika pande zinazovutana. I stand to be corrected.

Nafikiri ni ulimbukeni mtu kusema kwenye hili swala la katiba ati ni CDM vs CCM, kwa mtizamo wangu ni wananchi vs CCM, ni makosa makubwa sana mtu mwenye fikra huru anapojiona kuwa yeye sio sehemu ya mchakato wa katiba, ur either in wananchi's side or CCM
 
Ku declare interest maana yake unajiweka wazi kwamba jambo ambalo unataka kulizungumzia kwa namna moja ama nyingine una maslahi nalo.Kwa kuwa yeye alitaka kuonyesha kwamba hana upande,kwa maoni yangu hakutakiwa kutumia hayo maneno pale.
 
Nafikiri alikuwa akimaanisha kwamba kabla hajaendeleza mjadala ilikuwa ni muhimu kwa hadhira kutambua mapema kwamba yeye si mwanachama wa chama chochote kile na wala hana maslahi (interest) humo.

Kwahio chochote ambacho angekuwa akisema kwenye mahojiano hayo kilitakiwa kifahamike kwamba ni mawazo yake binafsi.

unapo declare interest maana yake ni kufahamisha hadhira kwamba wewe una maslahi na kitu/jambo fulani linalohusiana na hoja unayotaka kuzungumzia na kwa hivyo watu wata judge hoja yako kulingana na maslahi uliyotolea taarifa, na kwa mantiki hiyo kauli aliyotoa paschal mayala was irrelevant and wrong!
 
Nadhani angesema 'in the interest of full disclosure mimi si mwanachama wa chama chochote' ingependeza zaidi.


Asante mkuu kwa kutunyooshea lugha. umeelewa vizuri sana swali langu. huwezi kudeclare interest kama huna position or side. nadhani ndivyo inavyopaswa kuwa.
 
unapo declare interest maana yake ni kufahamisha hadhira kwamba wewe una maslahi na kitu/jambo fulani linalohusiana na hoja unayotaka kuzungumzia na kwa hivyo watu wata judge hoja yako kulingana na maslahi uliyotolea taarifa, na kwa mantiki hiyo kauli aliyotoa paschal mayala was irrelevant and wrong!

Asante kwa majibu mazuri Chuma Chakavu.
 
Leo nikifuatilia mdahalo wa mchakato wa katiba uliorushwa na star tv, nilimsikia Paschal Mayala akisema baada ya kupewa kipaza sauti... "Kwanza naomba ku declare interest" halafu akaendelea "mimi si mwanachama wa chama chochote..." Swali langu ni je, alikuwa sahihi? kama hakuwa mwanachama wa chama chochote, alikuwa na haja ya ku declare hiyo interest?

Huyu jamaa ni CCM damudamu..na maneno yake uwa yanajieleza...EPUKA NA KUWA MAKINI NA WATU WANAOSEMA KWA UNAFIKI ATI "HAWANA CHAMA CHA SIASA" ................Huu ni unafiki mkubwa sana....kwa mazingira ya Tanzania yetu kwasasa tuwe wazi na tuache unafiki tuna ma-group mawili tu.....
 
Leo nikifuatilia mdahalo wa mchakato wa katiba uliorushwa na star tv, nilimsikia Paschal Mayala akisema baada ya kupewa kipaza sauti... "Kwanza naomba ku declare interest" halafu akaendelea "mimi si mwanachama wa chama chochote..." Swali langu ni je, alikuwa sahihi? kama hakuwa mwanachama wa chama chochote, alikuwa na haja ya ku declare hiyo interest?

Pasco, tuko naye pamoja. haya mambo ya vyama vya siasa Tanzania ni kujitafutia ugonjwa wa moyo tu. Interest zangu zinabaki kwenye utaifa wangu tu na sio kitu kingine. hapo ntaongea kwa nguvu zangu zote.
 
Nafikiri alikuwa akimaanisha kwamba kabla hajaendeleza mjadala ilikuwa ni muhimu kwa hadhira kutambua mapema kwamba yeye si mwanachama wa chama chochote kile na wala hana maslahi (interest) humo.

Kwahio chochote ambacho angekuwa akisema kwenye mahojiano hayo kilitakiwa kifahamike kwamba ni mawazo yake binafsi.

Me nafikiri alitakiwa ku-declare interest ya ananufaikaje na tenda za maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma ambayo hupewa kampuni yake ya PR.
Hii ingemfanya asionekane bias katika kuuliza kwake maswali ama vinginevyo.Coz kama mtu ako na maslahi na sehemu fulani hawezi kwenda kinyume nayo.
Kutokuwa mwananchama wa chama chochote ni dhamira ya mtu na kamwe haiwezi kuthibitika.Yangu ni hayo2...
 
Nadhani hamkuangalia vizuri alijichanganya akakaa na watu wa CDM............
 
Back
Top Bottom