Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 769
- 1,959
"Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wa chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa funded na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?,"....
Jana, Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziada, sio fedha za watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
Jana, Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziada, sio fedha za watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla