Pascal Mayalla apata ajali.....

japo thread ni ya cku nyingi ila huyu jamaa namkumbuka sana ndio mwasisi wa jina la KITI MOTO. Alikuwa na kipindi bomba sana ITV chenye jina hilo miaka ya 1990 bahati nzuri/mbaya biashara ya mdudu kwn mabaa mengi ndo ilishamir kipindi hicho basi wadau wakaanza kuita ile nyama kitimoto. He is one of professional and legendary jounalists we have in tz. last longer man!
Tupe madini mkuu
 
Mdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.

Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.


Pole sana Pasco, Mungu akusaidie upone haraka , Amina.

Haya ma pikipiki yametupotezea ndugu zetu na wazee wetu . Ni kwa vile mtu unakuwa huna budi tu, lakini usalama wake ni mdogo sana.
 
Nilitaka nishangae hiyo picha Pascal anaonesha bado kijana kabisa nakati mtu wa watu Uso ushashuka, hana habari na mtu.
 
Screenshot_20230709-230827.png
 
Back
Top Bottom