Tupe madini mkuujapo thread ni ya cku nyingi ila huyu jamaa namkumbuka sana ndio mwasisi wa jina la KITI MOTO. Alikuwa na kipindi bomba sana ITV chenye jina hilo miaka ya 1990 bahati nzuri/mbaya biashara ya mdudu kwn mabaa mengi ndo ilishamir kipindi hicho basi wadau wakaanza kuita ile nyama kitimoto. He is one of professional and legendary jounalists we have in tz. last longer man!
Brother, Pole sana Mayala.
Jf tunaomba mfungue account ya kutuma fedha aa kumsaidia ndugu yetu ili aweze kupata nafuu ya matibabu na gharama zingine.
Mdau Mpoki Bukuku wa Mwananchi na The Citizen anatujulisha kwamba Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu yetu Pascal Mayalla amepata ajali mbaya ya pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani Mkoani Dodoma.
Bw Pascal Mayalla amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa namkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.JF hii inapenda kumpa pole ndugu yetu paschal Mayalla,apate Nafuu ya haraka.
Hii post ya miaka 15 iliyopita .Pole sana Pasco, Mungu akusaidie upone haraka , Amina.
Haya ma pikipiki yametupotezea ndugu zetu na wazee wetu . Ni kwa vile mtu unakuwa huna budi tu, lakini usalama wake ni mdogo sana.
Shukrani sana nilifikiri ni ya muda huuHii post ya miaka 15 iliyopita .
Hawalaumiki ndiyo matunda ya babu yao nyerere na CCM yakeSkuizi Jf imekua na mavijana machawi sana...🤨
Watu hawasomi hata tarehe..wao nikurilika tuHii post ya miaka 15 iliyopita .
Mayalla Yuko Sabasaba!!Shukrani sana nilifikiri ni ya muda huu
Kivip na unamanisha nini boss?Kuna watu hapa bodini wana midomo kama manabii.
Get well soon biker.